Zawadi yangu 2017 kwa wanawake wa JF, Happynew yr

Ni kweli Ubongo wa Mwanamke umeumbwa tofauti kabisa na sisi wanaume.

Mwanamke anaweza kuwa anaongea na simu huku anatazama TV huku ananyonyesha mtoto au kukaangiza mboga.

Sisi Wanaume tukitaka tukiongea na simu basi tutapunguza sauti ya radio au Tv ndipo tuongee na Simu.
 
Ahsante mkuu! Haya sasa wabishaji karibuni mana hamkosekani ila huo ndio ukweli.
 
Ni muhimu kujua sayansi ya kuongea na mume.Asante kwa somo zuri wengine tunapayukaga tu ili mradi tumeongea
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…