Mkuu hiyo gari unaifananisha na IST?Mi naona wanafanyaga makusudi hivi hata IST used inayoeleweka wanashindwa kutoa hadi waweje hivi viuchafu.
Watamtesa huyo binti. Hatakuwa na nguvu ya kuhudumia hio gari. Afadhali wangempa Toyota inayolingana thamani na hio gari.Inasemekana eti hii ndo zawadi atayopatiwa mshindi wa mashindano ya urembo kinondoni(miss kinondoni super model)
Zawadi atazopatiwa ni kama inavyoonekana pichani,.gari na kitanda.
Toa maoni yakoView attachment 1153447View attachment 1153448
inakata wese sana nini,maana ndio iko kwenye rada zangu hii kimontoroli.Watamtesa huyo binti. Hatakuwa na nguvu ya kuhudumia hio gari. Afadhali wangempa Toyota inayolingana thamani na hio gari.
Dah mkuu..kweli?mwenzake huku mbeya alipewa T-BETTER pikipiki
Iyo n gar ama n picha ya gar
Picha ya gar imepigwa picha
Uliza wa shinyanfmga alpewa nn
Ukishahinda unatoka nje kukabidhiwa zawadi.
Unakaa humor unabasamu huku unapunga mkono
Vyote Vina Thamani Ya Millions Ngapi?
Na kwenye kitanda inakuwaje sasa anakaapo au ni picha tu inaonyeshwa
Wa mbeya alipewa pikipiki .
Hicho kitanda miss yupo mmoja halafu mito iko miwili wanamaanisha nini?Inasemekana eti hii ndo zawadi atayopatiwa mshindi wa mashindano ya urembo kinondoni(miss kinondoni super model)
Zawadi atazopatiwa ni kama inavyoonekana pichani,.gari na kitanda.
Toa maoni yakoView attachment 1153447View attachment 1153448
Vipuri bei ghali na ninavyiona hio ni ya 2005/6 kwahio imefika umri wa kubadilisha vitu kibao.inakata wese sana nini,maana ndio iko kwenye rada zangu hii kimontoroli.