Habarini, one of the friends anatoka Ujerumani anakuja Tanzania kutembea ameniuliza nimtajie zawadi gani aniletee.
Nikamwambia yoyote utayoona sawa, akasema hawezi jua my taste so niseme tu nataka nini.
Sielewi kwamba naweza kutaja kitu kikawa expensive nitaonekana na tamaa nitaharibu reputation au inakuwaje.
Nimeleta tudiscuss experience za maisha
Nikamwambia yoyote utayoona sawa, akasema hawezi jua my taste so niseme tu nataka nini.
Sielewi kwamba naweza kutaja kitu kikawa expensive nitaonekana na tamaa nitaharibu reputation au inakuwaje.
Nimeleta tudiscuss experience za maisha