kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Akichangia katika hotuba ya bajeti ya WAUJ,amewachana Tfda kutokana na hujuma zao zilizosababisha kuua viwanda vya dawa nchini.Kama vile haitoshi,amesema kuwa alihujumiwa na hao Tfda wakihusika kusema kuwa wamemkamata na sukari ya kutengenezea ARV iliyo expire.
Habari iliyoripotiwa na gazeti la Nipashe aliloliita la 'Kizandiki,waongo na washonganishi wakubwa'huku ukweli ikiwa ni kwamba hakuna ARVInayotengenezwa kwa sukari katika kiwanda cha dawa anachomiliki hisa huku serikali ikiwa na hisa nyingi zaidi ambazo ni 40%
My take;
Tfda inapaswa kuchunguzwa kutokana na kuwa na tuhuma nyingi nzito,ikiwa ni pamoja na kutoa vyeti vya kuhitimu ADDO kwa watu ambao hawakupitia mafunzo kwa rushwa ya hadi shilingi laki nane kupitia kwa baadhi ya wafamasia wa wilaya pamoja na kumiliki mafamasi huku wao wakiwa wakaguzi na wakiyaacha maduka yao yakivunja sheria wazi wazi.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Habari iliyoripotiwa na gazeti la Nipashe aliloliita la 'Kizandiki,waongo na washonganishi wakubwa'huku ukweli ikiwa ni kwamba hakuna ARVInayotengenezwa kwa sukari katika kiwanda cha dawa anachomiliki hisa huku serikali ikiwa na hisa nyingi zaidi ambazo ni 40%
My take;
Tfda inapaswa kuchunguzwa kutokana na kuwa na tuhuma nyingi nzito,ikiwa ni pamoja na kutoa vyeti vya kuhitimu ADDO kwa watu ambao hawakupitia mafunzo kwa rushwa ya hadi shilingi laki nane kupitia kwa baadhi ya wafamasia wa wilaya pamoja na kumiliki mafamasi huku wao wakiwa wakaguzi na wakiyaacha maduka yao yakivunja sheria wazi wazi.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums