Zanzibar wajiandaa kudai Referendum for Independence + Devolution Max

Mkoa wa zanzibar hauwezi kujiendesha kama nchi..bajeti yao yote inatokana na mapato ya bara

Utalii tuu utaiwezesha zanzibar kutoa huduma zote muhimu bure na serikali kujitosheleza iwapo tuu ccm itaondoka madarakani
 
Humo Jussa na mstaafu Karume wanakosekana kweli?
 

Natumai bado ni tetesi ila kama Mchumi naisubiria kwa hamu hiyo dosier kwani zisije kuwa kelele za kisiasa tu. Mie siiungi mkono vipengele vingi vya katiba ila nimefurahi swala la utaifa wa kitanzania kwani Rasimu ya Warioba ilitishia uhai wa Tanzania.
 

Basically Scotland hawakushindwa kujibu swali . Wao walisema yeyete ambaye ni resident Scotland alipewa rukhsa ya kupiga kura. Znz wanaweza kufanya the same as long as wanayo proof ya nani ni resident. Hii si kazi kubwa afterall Znz wapo raia...wana passports...wana vitambulisho...wana daftari la wapiga kura....wana vitambulisho na kutokana na utata uliopo siku za nyuma si kazi kubwa ku verify who is who pale kisiwani. Scotland was more easier to say the least.

Referendum ifanywe Znz kwani wao ndio wanaotaka kujiondoa na status yao kama nchi. Bara hakuna problem hiyo.

Aliyeshiriki na asiyeshiriki watajulikana tuu kama ni resident au raia au mgeni. Basically hiyo ni right ya kila mwenye right ya kupiga kura znz

Nchi nzima itakuwa haiwezekani kwa sababu wanaotaka kujitenga ni wao wazanzibari na wao ndio walioomba referendum japo kisheria wanaweza kupiga kura bungeni kwao na kuamua kujiondoa frm muungano
 

Swali la Kwanza ni nani mzanzibari na nani anatakiwa kupiga kura ya referendum? Kwasababu hata wewe Kiranga ukiwa umeishi Zanzibar miaka 10 unapata kitambulisho cha mzanzibari mkaazi na kuwa Mzanzibar. Sasa huyu ni mkaazi na sio raia na inakuwaje mkaazi akapewa haki ya kiraia. Na upande wa pili wapo raia waliozaliwa Zanzibar wakaishi nje ya Zanzibar ambao wamekataliwa vitambulisho vya mzanzibari mkaazi ila hawa ni Raia na wanayo haki ya kupiga kura ila katiba haiwatambui. Hili ni jambo la kwanza litakuwa kikwazo katika referendum hasa wakienda mahakamani!!!
 

Sidhani kama ni ishue kubwa sana. Mwenye right ni yule mwenye haki ya kuoiga kura Znz it's that simple.
 
Sure.

Nyerere was a disgrace to this nation.

Even though we are all going to die but thanks god for taking his soul away.

unaitafuta laana kwa nguvu kweli, hata kama kuna mahali alikosea.. sidhani kama ni sahihi kufurahia kifo chake.
 
Sidhani kama ni ishue kubwa sana. Mwenye right ni yule mwenye haki ya kuoiga kura Znz it's that simple.

Ni issue kwasababu mwenye haki ya kupiga kura Zanzibar ni Mtanzania na kitambulisho chake cha kupiga kura kimeteuliwa na Zanzibar Electoral Commission. Sasa kitambulisho hicho hicho pia kinatambuliwa na Electoral Commission ya Tanzania sasa haitofautishi huyu ni Mzanzibari au yule Mtanganyika. Kinachoweza kutofautisha ni kitambulisho cha ukaazi kati ya Zanzibar na Tanzania. That is why nimeuliza referendum hiyo atapiga kura mkaazi au raia? Na je mkaazi ana haki kuliko raia kwani raia wa Zanzibar baadhi yao hawana haki ya kupiga kura na je wale wenye haki ya uraia by birth lakini wanaishi nje ya Zanzibar na hawakubaliki kupata kitambulisho cha uzanzibari mkaazi itakuwaje? Msumari mnene huo yangu macho huko mahakamani sijui rafiki yangu Dr Fauz watajibu nini ila kazi wanayo.
 
nyie tanganyika mnaponzwa na kitu gani kuingangania zanzibar kiasi icho??? km si njaa na choyo, kama visiwa mnavyo tele, kama bahari mnayo, kama ardhi mnayo, sioni mnachohitaji kutoka zanzibar

rayun siyo watanganyika wote tuliuopenda hili litokee,hakuna kitu kizuri kama kuwa na maridhiano kw apande zote mbili.Leo upande mmoja unaamua mustakabali wa nchi ya pili siyo sahihi.Japo tunapenda Muungano lakini tatizo kubwa wabunge wenu wa Zanzibar ndiyo wakuwalaumu na wala si watanganyika.
 
Humo Jussa na mstaafu Karume wanakosekana kweli?

Karume nae yumo kwenye list wanaoutaka urais wa JMT , balaa la Zanzibar utaliona May 2015 baada ya ccm kupitisha mtu wa bara ....tuombe uzima
 
Watu gani nyie kila mara mnapenda utengano badala ya umoja? Hamjui kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu? Hizo zitabaki kuwa porojo zenu na hazitafanikiwa kwa kuwa wa TZ (ZNZ+TNGYK) wengi tunapenda umoja na hatutadanganyika na hao wachache wanaotaka utengano kwa ajili ya ubinafsi wao.



Haya sasa. Km hii ni kweli kwa maana ya sasa inaweza kuwa kweli lkn huko tuendako hili haliepukiki. Katiba mpya ilitakiwa kumaliza kila kitu lkn naona maintarahamwe wapokwa fahamu kabisa kuhusu hili
 
Kama ni kweli ni sisi kupitia Sita tumewafikisha hapo. Ni mipango ya Mungu kwa ukombozi wa Tanganyika
 
Aman Karume hawezi kukubali kuburuzwa kitoto........hatokaa kimya ......:cool2:
 
Wanaponzwa na shibe ya tonge mbili za ubwabwa wa chama cha maharamia na wahuni.

nyie tanganyika mnaponzwa na kitu gani kuingangania zanzibar kiasi icho??? km si njaa na choyo, kama visiwa mnavyo tele, kama bahari mnayo, kama ardhi mnayo, sioni mnachohitaji kutoka zanzibar
 
Naunga mkono znz ijitawale,tunawaonea sana.znz ni nchi tuwaache waamue mambo yao kama wanatuhitaji au la
 
Mbona zanzibar ni huru tangu mwaka 1963, wanataka independence gani hiyo??
 

Pasport ya Zanzibar ikoje?
 

Umerudia swali ambalo nishauliza katika post uliyoinukuu..

Referrendum inaweza kufanywa nchi nzima kwa sababu hii.

Pia kwa sababu nyingine.

Wazanzibari wanaweza kuukubali muungano halafu watu wa bara wakaukataa, in theory at least.

Kwa hiyo referendum ni muhimu kufanywa nchi nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…