Ccm tuna wakati mgumu kwa kweli
Baba yako Mbowe anajua umuhimu wa znz!
Tumechoka unafki wa waZnz. Wanajifanya hawapendi muungano ila matendo yao ni tofauti.
Upuuzi tupu,Wazanzibar kama ungekuwa unawafahamu wala usingesumbuka nao. Wakishakunywa urojo kinabaki kukata mauno kwenye ngoma za taarabu basi.
Upuuzi tupu,Wazanzibar kama ungekuwa unawafahamu wala usingesumbuka nao. Wakishakunywa urojo kinabaki kukata mauno kwenye ngoma za taarabu basi.
Nadhani unafiki una run kwenye DNA yao
Kila kukicha wanalaunu bara jumbe problem iko kwao
Mkuu Ugweno Usangi, asante kwa hii, kiukweli siogopeshwi na hatua hii, mabadiliko ya 10 ya katiba ya Zanzibar, yameweke sheria ya referendum, ningeogopa sana kama Zanzibar wangeamua kupiga kura ya YES or No kuhusu muungano!.
Pasco
Kama wanataka kujitawala sawa,wapewe uhuru wao.nyerere alikosea sana kuimeza zanzibar.
shida kubwa ya wazanzibar ni viongozi wa ccm wa TANGANYIKA , KULE KWAO WOTE WANATAKA NCHI YAO , HEBU JARIBU KUISOMA KATIBA YAO , AMBAYO ILIPITISHWA KWA KAULI MOJA NA WAZANZIBAR WOTE , ACHA UVIVU .