Kutetea wapalestina hakuhutaji uwe rangi fulani ama dini fulani, kwani hakuna weusi wanaokufa Gaza? Hakuna wakristo wanaokufa Gaza?
Et Zanzibar ilikua na maendeleo Afrika nzima wewe utakua unaumwa kifaduro,, Sasa lift ndio maendeleo🤣🤣🤣🤣Hizi propaganda kila siku unamdanganya watoto wenzenu tu,
1. Serikali ya Sultan haikua ya waarabu tu, ilikua serikali ya mchanganyiko, weusi kibao walikua wafalme, na Royal family weusi ni wengi kuliko hata hao waarabu, ila ukweli huu munapenda kuuficha kweli
2. Wakati wa Mapinduzi wameuliwa watu wengi tu wasio na hatia na sio wa Oman tu, una ushahidi wa Fred Mercury mwanamziki mkubwa level ya Michael Jackson ambaye ni mzanzibari na Hana chembe hata ya uarabu, kuna wahindi, wapersia na hata weusi wengi waliuliwa.
3. Si Kweli eti Wapemba wengi wana asili ya kiarabu, pengine hata Pemba hujawahi kufika
Waachieni Wazanzibari, Zanzibar yao wao ndio wataamua Zanzibar iendeshweje, Zanzibar ya zamani ilikua Na maendeleo Africa nzima hakuna mfano wake, kuanzia Umeme, Lift, biashara etc
Umechambua vizuri sana.Nipo hapa kuelezea uhalisia wa mambo jinsi yalivyo na hii ni kutokana na matukio ya kihistoria ambayo dunia kwa kipindi fulani kimepitia na bado kinaendelea kupitia, vita vya Russia na Ukrein, Israel vs palestinian, bokoharam vs ecowas, M23(rwanda) vs congo n.k
Zanzibar kama taifa ndani ya muungano wa Tanzania, muungano huu umeiweka Zanzibar salama zaidi kuliko ambavyo ingebaki yenyewe.
Baada ya mapinduzi ya Zanzibar kufanyika mwaka 1964 na mtawala wa wakati huo sultain akafukuzwa Zanzibar na yakafanyika mauaji kwa jamii zenye nasaba za kiarabu/oman. Muungano ndio uliokuja kuituliza Zanzibar bila hivyo leo hii kwa nguvu ambazo wazanzibari wenye asili ya kiarabu waliyokuwa nayo wakati huo wasingekubali kuishi chini ya uongozi wa kimapinduzi.
Wazanzibari wanajiona wamoja kwa sababu ya dini yao majority wengi ni waislamu lakini wamesahau kwamba dini haijawahi kuwaunganisha watu. Ukiachana na dini ukichunguza asili ya watu wa Zanzibar kuna jamii au koo mbili yaani nasaba za utambulisho wa kirangi na muundo wa sura na nywele.
Asili ya kwanza
Wabantu pure yaani waafrika ngozi nyeusi kama wana asili ya bara
Asili ya pili
Waarabu pure yaani waarabu ambao asili yao ni oman
Asili ya tatu
Machotara yaani mchanganyiko wa uzao wa waarabu na waafrika.
KWA NINI ZANZIBAR INGEWEZA/INAWEZA KUWA KAMA DARFUR.
1.Kisasi cha mapinduzi
Bila muungano Zanzibar isingetawalika chini ya ngozi nyeusi na hii ni kutokana na nguvu za ushawishi wa nchi za kiarabu kwa wakati huo.
2.Ubaguzi
-Waarabu pure wangejiweka wananchi daraja la juu (first class)
-Machotara wangekuwa daraja la kati (middle class)
-Wabantu black wangejikuta wapo daraja la chini (low class)mfano huo angalia nchi kama india, Bangaladesh,sudan n.k
3.WAPEMBA VS WAUNGUJA
-Kijiografia Zanzibar imeundwa na visiwa vikubwa viwili ambavyo ni pemba na unguja, na kwa bahati mbaya wakaaji wengi wanaoishi kwenye kisiwa cha pemba ni wenye asili ya kiarabu na machotara na wakaaji wengi wanaoishi kwenye kisiwa cha unguja ni wabantu pia kuna machotara, ukiangalia kwa muundo wa asili ya wakazi wa visiwa hivyo viwili wamakaa kiubaguzi.
DARFUR-
Mgogoro wa darfur nchini sudani ulizihusisha koo za kikabila ambazo zilibaguana kutokana na rangi na asili za muonekano wa ngozi zao.
Waislamu wenye asili ya kiarabu mpaka hii leo bado wanaendelea kuwachinya wenzao waislamu wenye asili ya kiafrika(black)
Chanzo cha mgogoro huu ulitokana na uongozi wa serikali kuwabagua wananchi wake wenye asili ya kiafrika, hapa dini haikuwaweka pamoja bali asili ya muonekano wao uliwatenganisha.
SOMO LA KUJIFUNZA
•DINI, RANGI, KABILA halijawahi kuwaunganisha watu bali UTU.
Sifa kubwa sana kuwa Mzanzibari.hii midude inaonekana ni mizanzibar, hasa huyo THE BIG SHOW na kigagula FaizaFox
Bara mkuu wa mkoa anapokewa kama mfalme. Zanzibar jaji mkuu au waziri wanapishana watu masokoni kama kama watu wa kawaida tu. Zanzibar watu wanajielewa sanaSifa kubwa sana kuwa Mzanzibari.
Nchi ambayo watu wake wanajielewa.
Wewe kwenu wapi?
Hapo sasa!
Lift sio maendeleo ila ukiwa wa kwanza that's something.Et Zanzibar ilikua na maendeleo Afrika nzima wewe utakua unaumwa kifaduro,, Sasa lift ndio maendeleo🤣🤣🤣🤣
Eid Mubarak FaizaSifa kubwa sana kuwa Mzanzibari.
Nchi ambayo watu wake wanajielewa.
Wewe kwenu wapi?
Hapo sasa!
Eid Mubarak Faiza
Sasa mbona Kule sudani wana uwana wenyewe kwa wenyewe Huo undugu umewasaidia nini?Muislam ndugu yake Muislam.
duh! Hasira huna weweSifa kubwa sana kuwa Mzanzibari.
Nchi ambayo watu wake wanajielewa.
Wewe kwenu wapi?
Hapo sasa!
kumbe nawe ni mzanzibar?Bara mkuu wa mkoa anapokewa kama mfalme. Zanzibar jaji mkuu au waziri wanapishana watu masokoni kama kama watu wa kawaida tu. Zanzibar watu wanajielewa sana
Bara mbunge kama mfalme. Akipita unanyenyekea sawa na enzi za ukoloni. Zanzibar wanajielewakumbe nawe ni mzanzibar?