kuitaja Tanganyika unatafuta matatizo na CCM ,wale wote mnaotetea kuwa tanganyika ndio pekee inayochangia ,itakuwa mnapingana na Yule waziri mkuu mh.PINDA maana yeye hajui wale wanao izungumzia na kutaja TANGANYIKA wanakusudia nchi gani ,hivyo kusema Tanganyika inachangia mtakuwa mmepoteza dira ,ni bora mkasema CCM ndio inachangia kuliko kusema Tanganyika. maana haipo.