Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Bodi ya Vyakula na Vipodozi ya Zanzibar imeteketeza tani 44 za bidhaa mchanganyiko vikiwemo vyakula ambavyo havifai kwa matumizi ya binadamu.
Vyakula hivyo ni pamoja na tani 18 mchele ulioingizwa Visiwani kutoka nje na kubainika kuwa mchele huo ulikuwa haufai kwa matumizi ya binadamu.