Zanzibar safi!

Sojawahi ona ngapi


Disco ni jambo na vuvuuzela zingine wanapanda boti kwenda comoroooo usiku usiku skuhizi
 
Sojawahi ona ngapi


Disco ni jambo na vuvuuzela zingine wanapanda boti kwenda comoroooo usiku usiku skuhizi
Aisee, kweli Znz mpya, Ngamia ulizia kwa MZEE Raza alikua anawafuga kama ng'ombe, asubuhi wanapelekwa malishoni jioni wanarudishwa nyumbani. Si zamani ni miaka miwili tu iliyopita ndio niliwaona.
 
Namimi ndo nimefika hapa Zanzibar saivi natafuta wapi nitapata kitimoto safiii...nielekeze mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…