Hata avater yako unaonekana wa Leo, vipi hapo Kinazi upepo, night club, na hiyo hoteli nyingine ya pembezoni show zinaendelea!? Maana nakumbuka mziki wa Maana ulikua unapigwa kila Alhamisi au j5 kama sikosei, na Vipi Mzee Raza anaendelea kufuga ngamia hapo Paje?