Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Nilikuwa naangalia ITV Taarifa ya habari.
Rais wa Zanzibar Dk Ally Mohamed Shein amewaonya watendaje wake kuacha kuutumia muda huu kuutafuta Urais na yeyote atakayethubutu kufanya hivyo atakatwa!
My yake:
Ina maana watu wameshaanza movements za 2020?
Huku Bara mbona pako shwari sana.
Rais wa Zanzibar Dk Ally Mohamed Shein amewaonya watendaje wake kuacha kuutumia muda huu kuutafuta Urais na yeyote atakayethubutu kufanya hivyo atakatwa!
My yake:
Ina maana watu wameshaanza movements za 2020?
Huku Bara mbona pako shwari sana.