Hivi bajeti ya mwaka ya taifa la Zanzibar ni dola ngapi vile? Cha kufisidi kiko wapi? Magunia mawili matatu ya karafuu ambayo ndio uchumi wa Zanzibar au? Hicho cha kufanyia "ufisadi wa kutisha" hakipo and thats the reason.
Wazanzibar ni vipofu,hawajui kuhoji maendeleo!kusamehewa 50bn na tanesco sio ufisadi?zec haikukusanya bili?
Sio kwamba Zanzibar hakuna ufisadi, hapana nakataa. Ufisadi upo, ila kilichopo Zanzibar saiv ni utawala ambao hauruhusu uhuru wa vyombo vya habari, ni kama alivyokuwa Mkapa madarakani. Je, kipindi cha mkapa ulikuwa unasikia habari za ufisadi? Jibu ni hapana, lakjini je, ni kweli ufisadi haukuwepo? hapana, zaidi ya nusu ya ufisadi ulioibuliwa kipindi cha JK ulifanyika kipindi cha mkapa, so sio kweli kwama ZNZ hakuna ufisadi, vuta muda utayasikia tu pale mfumo wake wa utawala utakavyokuwa wa wazi kama wa JK.
NasDaz,
Nakubaliana na wewe kabisa kwenye hoja ya Taifa kwanza halafu mambo mengine baadae. Pia naunga mkono hoja ya kuwapa watu wenye uwezo wa kutusogeza mbele wakati huo huo wakawa na roho ya kuridhika bila kujiingiza katika wizi na ufisadi unaotisha.
Isipokuwa mtu atokee upande gani wa muungano sioni kama ni tatizo zaidi ya siasa zilizopo maana wapo wazanzibar pia ndani ya serikali ya jamuhuri.
la muhimu pengine ni kufanyia kazi utaratibu wa adhabu na kwa staili gani, watu wenye kuchezea mali za umma wapewe ili kudhibiti tabia hizo kutoka kwenye chama chochote kile kitakachotawala.
Pengine katiba inayokuja iingize vipengele kama hivyo ili kuongoza nchi isiwe kigezo cha wachache kuiibia nchi
Hiyo peke yake hatuwezi kuita ufisadi !! Kwani leo hii nikikupa huduma kwa maana kesho unilipe lakini ukashindwa kulipa nami nikaamua kukusamehe ni ufisadi?!
Sio kwamba Zanzibar hakuna ufisadi, hapana nakataa. Ufisadi upo, ila kilichopo Zanzibar saiv ni utawala ambao hauruhusu uhuru wa vyombo vya habari, ni kama alivyokuwa Mkapa madarakani. Je, kipindi cha mkapa ulikuwa unasikia habari za ufisadi? Jibu ni hapana, lakjini je, ni kweli ufisadi haukuwepo? hapana, zaidi ya nusu ya ufisadi ulioibuliwa kipindi cha JK ulifanyika kipindi cha mkapa, so sio kweli kwama ZNZ hakuna ufisadi, vuta muda utayasikia tu pale mfumo wake wa utawala utakavyokuwa wa wazi kama wa JK.
uandishi huu wa heading hizi unafaa kuuzia magazeti ya aina fulani fulani..
Lakini kwenye kadamnasi ya watu tunaoheshimiana na kujali muda sidhani kama ni fair kumfanya mtu asome paragraph mbili kumbe kile ulichokiahidi hakipo.., nadhani ungeweza kufikisha ujumbe kwa uwazi na ufupi pia...
How will we develop the nation if we entertain the the bad habit of people not footing their bills?
Wazanzibar ni vipofu,hawajui kuhoji maendeleo!kusamehewa 50bn na tanesco sio ufisadi?zec haikukusanya bili?