endeleeni tu but iyo dhambi tawamaliza tu ninyi wenyewe.................
Wanachodai ni zanzibar, wakiipata wapemba wataidai pemba yao, wakiipata pemba halaf watagawanyika weee .........
Umeona dalili juzi hapa vipepelushi vya wao kwa wao kubaguana (wapemba waondoke unguja)
Yote yatapita lakini majuto ni mjukuu.
Mimi si muumini wa muungano lakini pia nachukizwa sana na ubaguzi wa aina yoyote ile, rangi, kabila, dini, inchi nk kwasababu mdudu ubaguzi anasum mbaya ya maangamizi zaidi ya UKIMWI mfano, mauwaji ya kimbali inchi Rwanda- watusi na wahutu, Palestina na israel-chuki za udini nk
Kazanen wazanzibar lakini zambi hii hakika itawaangamiza.
endeleeni tu but iyo dhambi tawamaliza tu ninyi wenyewe.................
wanachodai ni zanzibar, wakiipata wapemba wataidai pemba yao, wakiipata pemba halaf watagawanyika weee .........
Umeona dalili juzi hapa vipepelushi vya wao kwa wao kubaguana (wapemba waondoke unguja)
yote yatapita lakini majuto ni mjukuu.
Mimi si muumini wa muungano lakini pia nachukizwa sana na ubaguzi wa aina yoyote ile, rangi, kabila, dini, inchi nk kwasababu mdudu ubaguzi anasum mbaya ya maangamizi zaidi ya ukimwi mfano, mauwaji ya kimbali inchi rwanda- watusi na wahutu, palestina na israel-chuki za udini nk
kazanen wazanzibar lakini zambi hii hakika itawaangamiza.
hiyo dhambi ya kuchoma makanisa itawamaliza tu, ila kama serikali imekataa si waishtaki mahakamani? ikishindikana waende mahakama ya kimataifa kuliko kuchoma makanisa na kupiga watu?
Borakufa.
hakika hata jina lako japo ni identity tu linawalakin BORA KUFA kwanini ufee!!!!!
- Walopepelusha vipeperushi vya WAPEMBA WAONDOKE unguja juzi walikuwa watanganyika eti eee.
- CuF inanguvu zaidi eneo lipi hapo zanzibar? kama unakumbuka yashimoni kenya na focus yako nini au predctions zako ni zipi.
- Sihitaji kukufundisha historia ya kwanin hayati Amani Abeid karume aliingia kwenye muungano soma kidogo historia utafahamu, na wewe waweza juwa nini matokeo ya zanzibar ikijitenga. Utabisha na kukanusha kwasababu ni jadi yenu lakini paliponaukweli uwongo utajitenga hii haina mjadala.
Uzembe wa CCM na mafisadi huku tanganyika. Hebu tuchukue mfano mdogo, Nahoza, Hussen mwinyi, Ghalibu bilal na wengine wengi tu, wametokea zenji sawa mkuu, wapo hapo juu katika serikali ya muungano kama watawala wameshiriki vipi kuutokomeza huo ufisadi kwanza ndani ya CCM bara na visiwani na pili huku tanganyika kama ulivodai?
Nataka ujenge hoja, sio matusi. usipaniki mkuu wangu, kwani wewe ukinywa sumu hujui matokeo yake?? inahitaji unajimu hapo shekhe, kujuwa matokeo ya kunywa sumu ni kifo?
Nyie VIBUA aliye waloga kafa nini? Wazuieni kina Bilali, Nahodha, Mwinyi, wabunge wenu wa muungano, wawekeeni Ban wasije Tg! Hao ndio wanaowauza tena kwa risiti! Mbona mna macho hamuoni balahau? eeh kwa akili yako usije ukachoma kanisa!
Wapeni uhuru na haki ya kujiamulia mambo yao na maisha yao wenyewe, siyo kukaa kila wakati mnawatisha "majuto mjukuu".Wanachodai ni zanzibar, wakiipata wapemba wataidai pemba yao, wakiipata pemba halaf watagawanyika weee .........
Umeona dalili juzi hapa vipepelushi vya wao kwa wao kubaguana (wapemba waondoke unguja)
Yote yatapita lakini majuto ni mjukuu.
Mimi si muumini wa muungano lakini pia nachukizwa sana na ubaguzi wa aina yoyote ile, rangi, kabila, dini, inchi nk kwasababu mdudu ubaguzi anasum mbaya ya maangamizi zaidi ya UKIMWI mfano, mauwaji ya kimbali inchi Rwanda- watusi na wahutu, Palestina na israel-chuki za udini nk
Kazanen wazanzibar lakini zambi hii hakika itawaangamiza.