Zanzibar mafuta hayajapanda hata

Zanzibar mafuta hayajapanda hata

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,126
Reaction score
24,421
Wakati sisi tunalia mafuta kupanda huko nchini ZANZIBAR mafuta hayajawahi kupanda kabisa na yapo chini sana

Sisi huku Tanganyika wacha tufwe tu madhali sisi ni Watanganyika

ZANZIBAR SMZ huwa hawalipagi hata hela ya Tanesco wanapata umeme tu

Wamesamehewa zaidi bilioni 120 ya deni la umeme kwa kipindi cha miaka 8

Wakati mtanganyika ananua umeme wa 1000 anapewa units 2.9 wenzetu wananunua umeme wa 1000 wanapewa kuanzia unit 4 na kuendelea hadi 6 huko

Wacha tuangamie tu maana sisi ni watanganyika tumekubali kubeba msalaba huu na mzigo mzigo!!
 
Back
Top Bottom