Nilivyowaona waamuzi wao wanaboronga Mapinduzi Cup. Niliamini hawawezi kusimamia lolote. Hata nikaamini kumbe ndiyo maana Jecha alivuruga uchaguzii uwezo wao mdogo sana, na ndiyo maana pia mbunge wa Mkuranga akawa Rais wao . Bado wanasitahili kuwa koloni la Tanganyika.