Muungano ukivunjika who is a looser?? wapemba wananunua mashamba Mbagala na Mkuranga kama vile wapo wete, Maduka ya kariakoo ni wapemba watupu, wachuuzi wa mchele pale Tandika ni wapemba, nenda shy wanunuzi wa mchele ni hao hao. Kwa upande mwingine, mtu wa bara ukiweka hata kioski cha soda zanzibar hakuna atakayenunua, achilia mbali ardhi ambayo hauwezi kupewa labda unywe kikombe cha babu. Jamaa hawaangalii mbali, wazanziba/pemba ni wakuzaliana sana, familia moja watoto sita, nane mpaka kumi, suala la global warming hawalioni kwao, ukubwa wa kisiwa chao unapungua siku hadi siku, sasa kisiwa kikimezwa watakwenda wapi?
Kwa maoni yangu binafsi, mbali na udungu tunaoutaka hasa watu wa bara kwa kifupi wao ndio wanaotunyonya tena kama kupe. Tumewapendelea sana sasa inaonekana tunajikomba ACHA WAVUNJE MUUNGANO WAO WENYEWE LITAKALOWATOKEA WAWE TAYARI KULIMEZA.