abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Written by administrator // 29/03/2011 // Sauti // 6 Comments
Zanzibar imeanzisha bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu katika kile kinachoonekana ni harakati nyengine tena ya kupunguza udhibiti wa mambo ambayo yanafanywa na serikali ya muungano. Bodi hiyo inatarajiwa kwenda sambamba na ongezeko kubwa la wanafunzi wa elimu ya
juu hapa Zanzibar katika miaka ya karibuni :
Sauti:Zanzibar kudhibiti elimu ya juu | MZALENDO.NET