B bitekutecha Member Nov 5, 2017 15 6 Dec 10, 2017 #1 Wakuu nimearifiwa kuwa Zanzibar heroes huenda wakapangiwa Uganda nusu fainali ya kombe la chalenji baada ya kuonyesha kiwango kizuri.
Wakuu nimearifiwa kuwa Zanzibar heroes huenda wakapangiwa Uganda nusu fainali ya kombe la chalenji baada ya kuonyesha kiwango kizuri.
BlackPanther JF-Expert Member Nov 25, 2015 9,020 8,480 Dec 11, 2017 #2 LEO: 5 Rounds ZNZ - LIBYA 14:00 TANZANIA - KENYA 16:00
J Jamal H Member Dec 10, 2017 7 4 Dec 12, 2017 #3 Hatuna wasi wasi na zanzibar heroes juu ya Uganda naamini tunawapiga japo kwa matuta
BlackPanther JF-Expert Member Nov 25, 2015 9,020 8,480 Dec 12, 2017 #4 Zanzibar/Barca ya east afrika katika ubora wenu pigeni hao kama mlivyowabamiza taifa stars....tena nyingi. My prediction: Znz 3-1 Ugd...kila la heri znz!!
Zanzibar/Barca ya east afrika katika ubora wenu pigeni hao kama mlivyowabamiza taifa stars....tena nyingi. My prediction: Znz 3-1 Ugd...kila la heri znz!!
R rodrick alexander JF-Expert Member Feb 12, 2012 15,190 20,154 Dec 13, 2017 #5 mshindi wa kwanza anacheza na mshindi wa pili wa kundi jingine wala sio maswala ya kiwango bora