Zanzibar kucheza na Uganda nusu fainali

bitekutecha

Member
Nov 5, 2017
15
6
Wakuu nimearifiwa kuwa Zanzibar heroes huenda wakapangiwa Uganda nusu fainali ya kombe la chalenji baada ya kuonyesha kiwango kizuri.
 
Zanzibar/Barca ya east afrika katika ubora wenu pigeni hao kama mlivyowabamiza taifa stars....tena nyingi. :D


My prediction:

Znz 3-1 Ugd...kila la heri znz!!
 
Back
Top Bottom