salmar
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 799
- 363
Ndugu wana bodi na ma great thinkers.
Ndugu zangu naomba kujuzwa wageni wanapotaka kuingia tanzania wanalipia visa ya kuingia tanzania jee kwa upande wa zanzibar hili fungu la gawio la pesa za visa wanapata ama.
My take naomba tujadilini hoja na tuwe na ustarabu katika hii hoja
Ndugu zangu naomba kujuzwa wageni wanapotaka kuingia tanzania wanalipia visa ya kuingia tanzania jee kwa upande wa zanzibar hili fungu la gawio la pesa za visa wanapata ama.
My take naomba tujadilini hoja na tuwe na ustarabu katika hii hoja