Haludzedzele
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,468
- 528
hii ndo Tanzania bhana! Wapeni nchi yao wawe huru wafanye watakayo
Mkuu huna mchango nchiniKosa langu lipi tena.
Ficha ujinga wako kwa angalau kukaa kimya tu.waarabu walio wengi kama sio wote ni waislamu.angalia jinsi wanavoishi.popote utakaposikia upotevu wa amani apa duniani jua waislamu wanausika ama moja kwa moja ama kwa kuwatumia watu.nenda misri,libya,tunisia,syria,mali,afghanistan,palestina,somalia,iraq iran,na sasa zanzibr,na kwa bahati mbya awa waarabu ata wakienda kwenye nchi zilizo staarabika bdo wanalazimisha kueneza upuuzi wao.cjui kma mtume mohamad s.w alikua anafundisha aya.shukuruni nature haikuruhsu niwe mungu.ngeshawasambaratisha nyote pumbvu zenu.
Movie tu hili, ionekane wakristo wamelipa kisasi......
apumzike kwa amani!!!!
........usifanye watu wapumbavu ww, wana akili zao usiwafundishe kufikiri kivivuhizi sumu mnazozimwaga kwenye vyombo vya habari ndio vitasababisha maafa. waislamu hawajamshutumu mkristo yoyote kujihusisha na haya mauwaji, lakini soma kauli za wakristo humu JF
Taarifa zilizopo ni kuwa mtu mmoja anayeitwa Ali Khamis ambaye ni Imamu wa Msikiti Mkaazi wa Mwakaje amepigwa mapanga na watu wasiojulikana huko Kidoto Mkoa wa Kaskazini Unguja jana,
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Ahmada Khamis amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo anasema limetokea majira ya saa 8 mchana huko Kitope wakati Marehemu akiwa shmbani kwake,
Kwa mujibu wa taarifa za polisi zinasema Imamu huyo alipigwa mapanga shingoni kwake na kupoteza damu na kusababisha kifo chake wakati akikimbizwa hospitali.
Jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo. Inna lillahi wainna ilayhi rajiiun.
Hii ni Post ya Mchangiaji wa Mzalendo.net
Inaweza ikawa Watanganyika Walioletwa (Wakristo) walioletwa Unguja ili kuikomboa CCM na Kueneza Ukristo Zanzibar wamelipiza kisasi cha Padri Shayo.
Hata jitu liwe Jahili vipi basi kwa itikadi na utamaduni wa Kizanzibari Mzanzibari halisi hawezi kumua mtu mwengine kwa Mapanga..
Hizi nitabia za Kishenzi ambazo zinatokea huko Tanganyika -Tanganyika wanakuja kujifichia Zanzibar. Wafanye nini Yakhee na ss hatuna Viongozi ila Wanafiki tu.
Mimi nataka Wazanzibari wasimame kidete Wawashinde watu hawa na wasiogope kulipiza kisasi.
mtu wa mungu nani kafa mtu wenu mmesema waisilamu wanahusika bila hata uchunguzi kafa imamu kwa nini makafiri wakikristo wasihusike kwa theory hiyoNadhani ile theory ya Ustaadhi Ilunga itatumika hapo sasa! Kwamba akiuwawa Sheikh mmoja wauweni maaskofu au wachungaji kadhaa. Kanisa lapaswa kuwa makini sana kipindi hiki kigumu. No one knows whats behind these issues. Hawakawii kusambaza jumbe wakidai ameuwa na wakristo ili kulipiza kisasi hivyo kupelekea umwagaji damu mwingine kwa watu wa Mungu. Kwa hakika Shetani yuko kazini akitenda kazi zake kwa uwazi pasi na kificho kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi yetu.
Sasa kila tukio litahusishwa na udini
kwa lipi mkuu,do u knw how much u spend to create a priest ama una bwabwaja 2?imam?wats a imam angekua shekhe sawa!imam si kama mwenyekiti wa kigango!uwezikuita iki ni kisasi?imam ni m2 mdgo sana kwa padre bro thnk twic sio kubwabwaja 2.
.........labda ka-ukwasi kako kasikoendana na uhalisia ndio kosa lako mkuuKosa langu lipi tena.
Joka la MdimuTaarifa zilizopo ni kuwa mtu mmoja anayeitwa Ali Khamis ambaye ni Imamu wa Msikiti Mkaazi wa Mwakaje amepigwa mapanga na watu wasiojulikana huko Kidoto Mkoa wa Kaskazini Unguja jana,
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Ahmada Khamis amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo anasema limetokea majira ya saa 8 mchana huko Kitope wakati Marehemu akiwa shmbani kwake,
Kwa mujibu wa taarifa za polisi zinasema Imamu huyo alipigwa mapanga shingoni kwake na kupoteza damu na kusababisha kifo chake wakati akikimbizwa hospitali.
Jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo. Inna lillahi wainna ilayhi rajiiun.
evelyn salt; loh! Mtoto wa kike wee! Uwe na hekima na maneno yako! Choma choma mdomo wako na chakula siyo na siyo na maneno! Halafu jukwaa hili ctaki tena nikukute hata siku nyingine!
madame b; unamwona huyu evelyn salt; na maneno yake?
Ninachojua mimi ni kwamba, ile vita ilikuwa ni ya kikabila(wahutu na watusi). Sijakuelewa kwanini unasema waislam hawakuhusika...au una maana watusi ambao ni waislam au wahutu ambao ni waislam hawakushika mapanga na kuchinjana??
Haya ni makundi mawili tofauti kabisaaa.