Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,695
Wana jukukwaa
Kwa kile kinachoendelea zanzibar sasa nadhani kila mmoja anakielewa.
Wana ccm mko busy mnasherehekea ushindi huku mkisahau kuwa bila zanzibar ccm haipo...
Leo wako ktk sintofahamu lakini masikio yenu yameziba mnasahau kuwa hata magufuti ni rais wa muungano si wa tanganyika.. Mnazidi kumkorofisha maalim seif mnasahau kuwa wakati wowote anaweza kuwa rais wa zanzibar... Je leo hii akishinda urais kwa namna yoyote na akajitoa kwenye muungano ccm itakuwa wapi....??? Rais wenu wa muungano atakuwa wapi..??? Tafakirini hili na hakikisheni mnatafuta suruhu zanzibar maana mambo yakiharibika nyie ndio waathilika wakubwa.....!!!!
Yetu macho.......!!
Kwa kile kinachoendelea zanzibar sasa nadhani kila mmoja anakielewa.
Wana ccm mko busy mnasherehekea ushindi huku mkisahau kuwa bila zanzibar ccm haipo...
Leo wako ktk sintofahamu lakini masikio yenu yameziba mnasahau kuwa hata magufuti ni rais wa muungano si wa tanganyika.. Mnazidi kumkorofisha maalim seif mnasahau kuwa wakati wowote anaweza kuwa rais wa zanzibar... Je leo hii akishinda urais kwa namna yoyote na akajitoa kwenye muungano ccm itakuwa wapi....??? Rais wenu wa muungano atakuwa wapi..??? Tafakirini hili na hakikisheni mnatafuta suruhu zanzibar maana mambo yakiharibika nyie ndio waathilika wakubwa.....!!!!
Yetu macho.......!!