ZanAjira ni kwa Wazanzibari pekee?

ZanAjira ni kwa Wazanzibari pekee?

Halafu cha kushangaza wanaofaidi Muungano ndio kila mara wanalalamika wanadhulumiwa

pengine ndio style yao kula neema za Muungano

Nyerere aliwabeba sana hawa watu japo Mwinyi alitaka kukata Mzizi wa Fitna 1993 kila mtu achukue mbao zake za Muungano
 
Wakati kina Maalim Seif,Mtikila na kina Njelu Kasaka wote hawa R.I.P wanaipigania Tanganyika wengi awakauwaelewa.
 
N
Kule hata ukipata ajira ni balaa tupu labda uwe muislam kama wewe ni mkristu bora kukomaa bongo tu maana utapigwa majini wewe na familia yako mtasumbuliwa na majini mpaka mkome.
Ndiyo Ukweli
 
kama mumechoka nao vunjeni muungano
Hirizi za Muungano na Bakwata Sijui Nyerere alizifukia wapi?…labda Katikati ya Bahari

za Azimio wahuni walizifukua na kukokea moto ila hizo za Muungano na Bakwata kama Titanic ukijaribu tu unang'oka kama sio kung'olewa kama wale Mabilionea
 
Wazanzibari wengi hawapendi muungano, lakini nawahakikishia muungano hauvunjiki hata walete DP W na kuuza ngorongoro, Loliondo na mlima Kilimanjaro.
Hata rais wa Zanzibar ajaye atateuliwa Dodoma. Iwe CCM au Chadema.
 
Kule hata ukipata ajira ni balaa tupu labda uwe muislam kama wewe ni mkristu bora kukomaa bongo tu maana utapigwa majini wewe na familia yako mtasumbuliwa na majini mpaka mkome.
Huko bara hakuna majini hamrogi?
 
Hoja yako ni muhimu sana
Inapaswa huu uwe mjadala mkubwa na wawazi .
Unapaswa uanze maramoja sambamba na swala la bandari .
Hoja hii lazima ipitishwe bungeni pia .ijadiliwe kwa kina na uwazi .
Awezekani asee.
Hawa jamaa wanatuchukuliaje bana
 
Wazanzibari wengi hawapendi muungano, lakini nawahakikishia muungano hauvunjiki hata walete DP W na kuuza ngorongoro, Loliondo na mlima Kilimanjaro.
Hata rais wa Zanzibar ajaye atateuliwa Dodoma. Iwe CCM au Chadema.

sasa humu wanaolalamika ni watangayika mkuu
 
Wazanzibari wengi hawapendi muungano, lakini nawahakikishia muungano hauvunjiki hata walete DP W na kuuza ngorongoro, Loliondo na mlima Kilimanjaro.
Hata rais wa Zanzibar ajaye atateuliwa Dodoma. Iwe CCM au Chadema.
Umepanic
 
Back
Top Bottom