Zamani walikuwa wanaitwa "mama ntilie" ila sasa ni "mama lishe". Kwani hakuwezi kuwa na jina la Kiswahili lenye staha kwa hawa dada zetu "barmaids"?

Bar maid...a woman who serves drinks in a bar. Kwani hili jina ambalo linaeleza kazi yao halina staha?
Na mwanamme anaitwa
Bar Man....a man who works in a bar.
Kazi ya kwenye baa ni kazi halali kama kazi zingine; ni mtazamo tu wa mtu binafsi anaweza kuona kwamba hiyo kazi ni isiyofaa; kama ambavyo mwingine anaweza kuona kwamba baadhi ya kazi hazifai, kama mwangalizi wa chumba cha maiti, mchimba makaburi, mzibua vyoo, n.k.
Hebu jiulize, wangekosekana kabisa watu wa kufanya hizo kazi mambo yangekuwaje?
Badili mtazamo, kubali uhalisia; mtu ambaye haoni ni kipofu, asiyeweza kusikia ni kiziwi, asiyeweza kutembea ni kiwete, n.k; acheni kuremba.
 
Upo sahihi. Barmaid ni “mjakazi wa bar” unataka apewe heshima gani zaidi ya apo?? Tatizo ni wenyewe na business za papuchi zao hata ukiwaita bar-tellers litaonekana bonge la tusi kwao wakati bank-teller is perfects. Nimetembea wilaya nyingi za pembezoni mwa nchi bihashara ya barmaid kujiuza ipo juu mno mno so heshima ya kazi yao kushuka wameitengeneza kwa mikono yao wenyewe
Sawa mkuu
 
mdada wa ndani ni maid au officiall Housemaid sema tatizo Stereotypical idea iliyopo kwenye jamii kuwachukulia kua Barmaid wote ni whore ambacho kitu sio sahihi wakiume tunaitwa Bar tender et wakike Barmaid wakati vyote ni vitu sawa jamii ibadili mtazamo
Kuna barmaid asiye whore?
 
Na mwanamme anaitwa
Bar Man....a man who works in a bar.
Kazi ya kwenye baa ni kazi halali kama kazi zingine; ni mtazamo tu wa mtu binafsi anaweza kuona kwamba hiyo kazi ni isiyofaa; kama ambavyo mwingine anaweza kuona kwamba baadhi ya kazi hazifai, kama mwangalizi wa chumba cha maiti, mchimba makaburi, mzibua vyoo, n.k.
Hebu jiulize, wangekosekana kabisa watu wa kufanya hizo kazi mambo yangekuwaje?
Badili mtazamo, kubali uhalisia; mtu ambaye haoni ni kipofu, asiyeweza kusikia ni kiziwi, asiyeweza kutembea ni kiwete, n.k; acheni kuremba.
Heeeeee?
 
Back
Top Bottom