karudi baba mmoja toka safari ya mbali
kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili
watoto wake wakaja ili kumtaka hali
wakata na kauli iwafae maishani
.....................................................
Roho naona yashindwa kifo kibenikabili
.........................................................
Kama mataka mali mtayapata shambani
siku za sikukuu kulikuwa na tamaduni za kupeana chakula hasa pilau, kama mimi ni mkristo na ni krismass lazima pilau ipikwe na niwagawie jirani zangu hasa ambao sio wakristo, na wao vileviile ikifika sikukuu yao wanafanya hivyo hivyo....
-Matibabu ilikuwa bure. Hospitali za binafsi hazikuwepo labda za misheni.
-Ukivaa chupi ilikuwa ni dili kubwa!
-Hakukuwa na skini taiti
-Viatu ilikuwa tunanunua Bora
-Nyumba 10 alikuwa anaheshimika kama hakimu. Ukigombana na mkeo anakwenda kushitaki na kulala kwa mjumbe
-Ukimwi ulikuwa hakuna zaidi ya kisonono na kaswende
-Wasichana wa kazi walikuwa bwerere siku hizi ni shida!
-Hakukuwa na magril kwenye milango na madirisha
-Nyerere alikuwa kama Mungu
-Kawawa alikuwa alionekana kama kichekesho kwa stori za "Kawawa funika kikombe"
-Tulifanywe tuamini kuwa Kambona ni adui wa nchi yetu na nyimbo tuliimba
-Wakati ule wanafunzi kwenda kufanya kazi za mwalimu nyumbani kwake ilikuwa ni heshima kubwa, sasa hivi ni kesi
-Mashairi ya "Karudi baba mmoja" na "Sizitaki mbichi hizi" yalikuwa kichwani kwa kila mwanafunzi
-Jioni zilikuwa ni nyakati za kupiga hadithi na vitendawili au michezo ya kujificha. Siku hizi ni kuangalia TV
Nitaendelea......
Nakumbuka kuna jamaa alikuwa anasoma zile shule za Evening Class kwa kuwa uniform zinafanana na Govt school mojawapo akawa anajifanya anasoma hapoDuh! Kweli mambo yamebadilika sana.
Wanaposema raha yaani level of happyness among the people ilikuwa juu yaani pamoja na yote hayo watu walikuwa na furaha na wanaheshimiana na wanaishi kama nduguKumbe zamani hamkuwa na raha yeyote...., uzuri ni kwamba, baada ya miaka 20 leo pia itaitwa zamani.
Zaman wale wa born town kucheki movie Avaron,Empress,New Chox au Drive Inn,wale wapenzi wa movie za kihindi Cameo ndio ilikuwa mpango mzima,kabla ya movie mangoma ya wanyamwezi yalikuwa yanapolomoshwa,wanyamwez kama wakina Billy Ocean,Cool n the Gang wengineo ndio ilikuwa stata kabla ya movie kuanza,da!miaka ile ilikuwa bomba kuwai kutokea katika maisha yangu na nina uhakika kwa wale vijana wa 90s na waliopitia viwanja vile,watakuwa wanamiss kipndi kile,da!kwa bahati mbaya vyote vimekufa.
Shule ilikuwa ukipata Division 4 wewe ni kilaza na division 0 ndio zilikuwa chache kuliko division zote ikifuatiwa na Division one-Matibabu ilikuwa bure. Hospitali za binafsi hazikuwepo labda za misheni.
-Ukivaa chupi ilikuwa ni dili kubwa!
-Hakukuwa na skini taiti
-Viatu ilikuwa tunanunua Bora
-Nyumba 10 alikuwa anaheshimika kama hakimu. Ukigombana na mkeo anakwenda kushitaki na kulala kwa mjumbe
-Ukimwi ulikuwa hakuna zaidi ya kisonono na kaswende
-Wasichana wa kazi walikuwa bwerere siku hizi ni shida!
-Hakukuwa na magril kwenye milango na madirisha
-Nyerere alikuwa kama Mungu
-Kawawa alikuwa alionekana kama kichekesho kwa stori za "Kawawa funika kikombe"
-Tulifanywe tuamini kuwa Kambona ni adui wa nchi yetu na nyimbo tuliimba
-Wakati ule wanafunzi kwenda kufanya kazi za mwalimu nyumbani kwake ilikuwa ni heshima kubwa, sasa hivi ni kesi
-Mashairi ya "Karudi baba mmoja" na "Sizitaki mbichi hizi" yalikuwa kichwani kwa kila mwanafunzi
-Jioni zilikuwa ni nyakati za kupiga hadithi na vitendawili au michezo ya kujificha. Siku hizi ni kuangalia TV
Nitaendelea......
Alafu hii ni old xul ya mapema kidogo wakija wenyewe wa shuleni na chuo kikuu unapata kitu maziwa wengine tunakaa pembeni tunaangalia tuNaona mtoa mada kaamua kukumbushia old xul.
Mkuu shairi la karudi baba mmoja nililiimba nikiwa darasa la 4 mwaka 2000 ila shairi la sizitaki hizi mbichi sikubahatika emu weka mistari yake!