ZOYA internet
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 202
- 384
Maisha yanabadilika kila kukicha na biashara ra mitandao zinabadilika pia, hii ni kutokana na watu kutafuta kilichobora zaidi. Kwa siku za hivi karibuni watu wamegundua kua kuunga bando kila siku kwaajili ya kuingia mtandaoni inakua haisaidii kama ambavyo ingemsaidia mtu mwenye wifi au fiber.
KUNA FAIDA KUBWA SANA KUWA NA WI-FI ROUTER AU BANDO UNLIMITED!
1. KUOKOA GHARAMA ZA BANDO. Ukiwa na WI-FI router au ukinunua bando unlimited unaokoa sana hela japo wengi wanahisi kua ni cost kubwa ila si kweli. Nataka tufanye hesabu kiufupi. Unakuta mtu kwa siku anamaliza GB1 ambayo inauzwa 2100 hivyo kwa mwezi atakua ametumia 63000 mtu mmoja, tena hapo ni kwa kujibana hawi kuru kufanya chochote anachotaka mtandaoni, angechukua WI-FI wangechangia watu wengi. Hata kama ofisini au kwenye biashara yako na majirani labda mko watu wa 10 mtakua wote mnatumia bando bila kikomo na ukirudi nyumbani wewe na majirani wote mnatumia bando bila kikomo, hapo ukiwaambia wote wachangie hata hela kiasi utajikuta wewe kwa mwezi umetoa hata 10000 tu.
2. KUKUZA BIASHARA YAKO. Ukweli usiopingika ni kua biashara saivi imehamia mtandaoni kama bado hujahamia anza leo ku post na kutafuta wateja wa bidhaa zako mtandaoni utaona matokeo ya biashara yako kukua ndani ya mda mfupi sana. So ukiwa na bando la uhakika unaweza fanya mambo mengi kukuza biashara yako bila kuogopa kua bando litaisha.
3. WIFI ROUTER YENYEWE INAWEZA KUKUINGIZIA KIPATO KAMA BIASHARA INAYOJITEGEMEA. Kama upo eneo lenye watu wengi-wengi mfano chuoni au kama una stationary unaweza ukawawekea watu wi-fi then wakalipia. Watapenda huduma hii zaidi mana itawasaidia kuokoa gharama ya bando, mfano bando za kawaida mtu akitoa 1000 anapewa MB 490 tu. Sasa wewe mwambie mtu atoe 1500 atumie bando la wi-fi kutwa nzima huyu mtu hawezi kukataa. Ukiwapata watu wa hivyo 10 tu kwa siku basi kwa mwezi utakua na laki 4 na nusu, ukitoa hela ya kulipia bando 100k unabakiwa na laki 3 na kitu ya faida, hapo nimepigia cost ya chini kabisa, ila unaweza weka bei ya juu kidogo na ukapata faida kubwa zaid. ukihitaji router kwaajili ya biashara hii nitakuelekeza jinsi ya ku control mtu asielipia asiweze kuunganisha hata kama akipewa password ya wifi na wenzake.
Hizi ni faida chache tuu kati ya nyingi ila ukweli ni kua wajanja saivi wanahama kutoka kwenye kutumia bando la kununua GB moja moja wanaenda kwenye kutumia wi-fi router!
KWA MAHITAJI YA ROUTER NZURI ZENYE UBORA NA BEI NZURI, Wasiliana na mimi nitakupatia router ambayo hautajutia kuinunua,router ambayo bando lake halipunguzi speed baada ya mda flani kwenye mwez, router yenye speed kubwaa, inayosambaza wifi eneo kubwa, ikiwa na bando unlimited ambalo malipo ya kila mwezi ni nafuu na unalipia kidogo kidogo, wi-fi router ambayo haiishii katikiti ya mwezi , na kwa bei rafiki mno!
KAMA UNAHITAJI LAINI PEKEYAKE IWEZESHWE BANDO UNLIMITED UTUMIE KWENYE ROUTER YAKO AMBAYO UNAYO TAYARI AU HATA UTUMIE KAWAIDA KWENYE SIM TU INAWEZEKANA.
MAWASILIANO: 0717700921
KUNA FAIDA KUBWA SANA KUWA NA WI-FI ROUTER AU BANDO UNLIMITED!
1. KUOKOA GHARAMA ZA BANDO. Ukiwa na WI-FI router au ukinunua bando unlimited unaokoa sana hela japo wengi wanahisi kua ni cost kubwa ila si kweli. Nataka tufanye hesabu kiufupi. Unakuta mtu kwa siku anamaliza GB1 ambayo inauzwa 2100 hivyo kwa mwezi atakua ametumia 63000 mtu mmoja, tena hapo ni kwa kujibana hawi kuru kufanya chochote anachotaka mtandaoni, angechukua WI-FI wangechangia watu wengi. Hata kama ofisini au kwenye biashara yako na majirani labda mko watu wa 10 mtakua wote mnatumia bando bila kikomo na ukirudi nyumbani wewe na majirani wote mnatumia bando bila kikomo, hapo ukiwaambia wote wachangie hata hela kiasi utajikuta wewe kwa mwezi umetoa hata 10000 tu.
2. KUKUZA BIASHARA YAKO. Ukweli usiopingika ni kua biashara saivi imehamia mtandaoni kama bado hujahamia anza leo ku post na kutafuta wateja wa bidhaa zako mtandaoni utaona matokeo ya biashara yako kukua ndani ya mda mfupi sana. So ukiwa na bando la uhakika unaweza fanya mambo mengi kukuza biashara yako bila kuogopa kua bando litaisha.
3. WIFI ROUTER YENYEWE INAWEZA KUKUINGIZIA KIPATO KAMA BIASHARA INAYOJITEGEMEA. Kama upo eneo lenye watu wengi-wengi mfano chuoni au kama una stationary unaweza ukawawekea watu wi-fi then wakalipia. Watapenda huduma hii zaidi mana itawasaidia kuokoa gharama ya bando, mfano bando za kawaida mtu akitoa 1000 anapewa MB 490 tu. Sasa wewe mwambie mtu atoe 1500 atumie bando la wi-fi kutwa nzima huyu mtu hawezi kukataa. Ukiwapata watu wa hivyo 10 tu kwa siku basi kwa mwezi utakua na laki 4 na nusu, ukitoa hela ya kulipia bando 100k unabakiwa na laki 3 na kitu ya faida, hapo nimepigia cost ya chini kabisa, ila unaweza weka bei ya juu kidogo na ukapata faida kubwa zaid. ukihitaji router kwaajili ya biashara hii nitakuelekeza jinsi ya ku control mtu asielipia asiweze kuunganisha hata kama akipewa password ya wifi na wenzake.
Hizi ni faida chache tuu kati ya nyingi ila ukweli ni kua wajanja saivi wanahama kutoka kwenye kutumia bando la kununua GB moja moja wanaenda kwenye kutumia wi-fi router!
KWA MAHITAJI YA ROUTER NZURI ZENYE UBORA NA BEI NZURI, Wasiliana na mimi nitakupatia router ambayo hautajutia kuinunua,router ambayo bando lake halipunguzi speed baada ya mda flani kwenye mwez, router yenye speed kubwaa, inayosambaza wifi eneo kubwa, ikiwa na bando unlimited ambalo malipo ya kila mwezi ni nafuu na unalipia kidogo kidogo, wi-fi router ambayo haiishii katikiti ya mwezi , na kwa bei rafiki mno!
KAMA UNAHITAJI LAINI PEKEYAKE IWEZESHWE BANDO UNLIMITED UTUMIE KWENYE ROUTER YAKO AMBAYO UNAYO TAYARI AU HATA UTUMIE KAWAIDA KWENYE SIM TU INAWEZEKANA.
MAWASILIANO: 0717700921