Zainabu Kawawa


Mimi nimeipenda signature yako tu!:israel:
 
Ndiyo matatizo ya hivi viti maalum aka vya kizinzi, yaani hawa wote au haya yule chei chei shangazi Vailet mzindakaya kwanza hawana hata sifa za maadili za hata kuwa monita au mjumbe wa nyumba 2, mbunge mzima anageuzwa-geuzwa ktk magari, mara ktk vichochoro unadhani hata wanajua wanachokisema ? mwigulu anawatafutia vipoint uchwara ili mradi waonekane wanaongea...maana hiyo inaweza wapatia soko jipya..

Nilisikia zile points za yule kijeba, mbunge wa namtumbo Kawawa nikabaki hoi. Halaf nae eti yupo ktk ile kamati ya bunge ya Lowassa, mambo ya nje sijui na ulinzi na usalama.... yaani hii inji ya Dhaifu ina vituko kweli !
 
Reactions: FJM
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…