Jana mbunge wa viti maalum kupitia UVCCM Zainab Kawawa alikosa busara baada ya kujibishana kwenye mic na baadhi ya wabunge wa CDM baada ya Spika kuhairisha shughuli za bunge.Kwa kweli ni utovu nidhamu uliokithiiri,kitendo cha kuwaita wabunge wa upinzani na hasa wa CHADEMA kuwa ni FOOLS.Na leo ameonekana kukerwa sana kuitwa NJUKA ila yeye kuita wenzie FOOLS hakuona kama kawakosea sana.Kweli hii ni sahihi waungwana? Tunashukuru leo hatujasikia vijembe baada ya kuhairisha bunge sijui kimetokea ninii