Sijamkosea jina nadhani nadhani aliwai kurushwa na Jamaa mmoja UDSM kwa ushambenga wake akijaribu kuzuia Kikao cha Daruso kisifanyike alikalia meza kuwa analazimisha swali lake lisikilizwe kwa nguvu la sivyo kikao cha uchakuzi haziendelei Jamaa lilimbeba na kumtupa chini hadi kila kitu kikaonekana
Hahaha naikumbuka hii stori, jamaa alikuwa mura yule, chapa Tarime! walimtia msukosuko kwa uzalilishaji ila mwisho wa siku ikaonekana hakuna ushahidi, maana alimshughulikia mbele ya Mama Bali, kundi la kina Penina Mlama waliokuwa wakipokea misaada ya kurekebishia gender issues baada ya Levina Kagize kujiua kwa kujirusha toka ghorofani kwa kisingizio cha kunyanyaswa kijinsia pale UDSM. Nakumbuka vuguvugu la gender issues pale mlimali liliwapatia kiburi sana wasichana. Alikuwa akikushitaki kituo cha polisi basi linavaliwa njuga na utalala tu ndani Lol!, sijui hali ile siku hizi imeishia wapi?