Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 3,119
- 1,428
Tarehe 04 Aprili, 2025, Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Zainab Katimba ametimiza mwaka mmoja wa UTUMISHI wake tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Waziri OR-TAMISEMI