Zain yapunguza bei - 1Tsh per minute

yaaaaaaaaap........ sasa line yangu ya zain itaanza kula pesa kma ya tigo.........
 
Zain yapunguza bei - 1Tsh per minute
Mkuu usisite kunitumia nikuongeze kwenye list ya contacts 🙂

Aaah Maxence mbona unatuchanganya hapo kwenye red? Kumbe ni 1Tsh kwa sekunde nilidhani kwa dakika mbona hiyo ingekuwa bomba zaidi

Haya sasa ni mashindano ya kuwavuta wateja kutoka mtandao fulani kwenda mwingine
Tigo 1Tsh kwa sekunde wakati wote
Zain 1Tsh kwa sekunde wakati wote
Zantel 1Tsh kwa sekunde wakati wote
Voda 1Tsh kwa sekunde wakati wote isipokuwa saa 11:00 jioni hadi saa 3:00 usiku. Halafu hawa VODACOM bado wagumu kwanini na wenyewe isiwe wakati wote kama hao wenzao?
 
ha ha ha hommie kwani ya Kichina line nne huna?
Hivi simu ya line nne shilingi ngapi? Maana hawa jamaa wameweka 1Tsh kwa sekunde kwa mtandao wenyewe kwa wenyewe yaani voda kwa voda, zain kwa zain, tigo kwa tigo, zantel kwa zantel, Ukichepuka kidogo tu utashashangaa sh. 500 hata dakika moja haimalizi.
 


Wapunguze bei pia waboreshe coverage maana tometoka mbali jamaa hajali maisha yake rather than kutafuta network kazi kwelikweli!!
 
haah!!! kama imefikia hapa basi leo nanunua line ya zain ni ongee kwa uhuru, ila mbio za sakafuni huishia ukingoni kamwe hawawezi kuta tigo xpress ur self
 
haah!!! kama imefikia hapa basi leo nanunua line ya zain ni ongee kwa uhuru, ila mbio za sakafuni huishia ukingoni kamwe hawawezi kuta tigo xpress ur self


Kweli kabisa. Ingawa ni hatua nzuri, lakini Voda na Zain wamechelewa sana. Hata hivyo hapo tulipofikia siyo pabaya. Tunaweza kuongea kwa simu sasa bila kuweka kidole kwenye kitufe chekundu tayari kwa kukata simu. Ama kweli tumetoka mbali sana!!
 
Inaonyesha walikua wanawaibia wateja pesa nyingi, talk time ni
rahisi dunia nzima, kama kwa shilingi au nusu shillingi au robo shillingi wanaweza
kupata faida kwa nini walikuwa wanawalipisha pesa nyingi hapo awali kama siyo wizi?
 
Nimeshaanza kutumia line yangu ya Zain. Nadhani ni best alternative kwa sababu sometimes tiGo inazidiwa na unakuta siku 2 mawasiliano yanakuwa sio mazuri. Sitegemei kitu kama hiki kwa Zain............
 
sisi hatuitaki zain, wala togo, wala voda, ataekuwa cheap na reliable ndo mtandao wetu, afterall wote hao ni wachumaji tuu!
 
Hawa Zain walikuwa wamelala fofofo kuja kushituka wako very late sasa wana hasira kiasi cha kutoa dk 60 kwa shilingi moja. Nilikuwa nimeiweka kando chip yangu ya Zain kwa siku mbili hivi! Wahindi waliouziwa Zain wamekula hasara itawachukua muda sana kuja kurudisha gharama zao za uwekezaji hadi kupata faida. Tunawasubiria Voda nao maana wanajifanya kubana ifikapo saa 11 jioni hadi saa 3 usiku najua muda si mrefu watanyoosha mikono.

Kuna wakati TCRA waliwataka Makampni ya simu yashushe gharama hadi shilingi 17 kwa dk wakajifanya kukomaa sasa wameanza kushusha wenyewe taratibu. Asante sana TiGO maana bila ninyi hawa jamaa wangeeendelea kutuchuna na kutiunyonya damu.
 
Mbona hamzungumzii Internet? bado tuna lipishwa gharama kubwa sana huko, hakuna mkombozi wa hilo?
 
Sasa ndio tunajua hawa jamaa wametengeneza hela kiasi gani kipindi cha nyuma coz hapakua na watch dogs. Hivi isn't profiteering by a company against the law in TZ?
I'm not happy, I think we should sue these companies!!!
 
Wameamua kushuka baada ya kuona wateja wao wamewakimbia wamehamia Tigo, Voda na Zantel......siye twatesa na thumni

Ustake ncheke mie Voda nako kwa kukimbilia kunani - kwa mafisadi ili wazidi kukupurura -pole ndugu

................................

Amani yetu inatumiwa vibaya.
 

hahaaaa !! Yaani huo ndio upande wa pili wa shilingi ama kwa maneno mengine kinachoendelea nyuma ya pazia - ama kweli MSIBA NA NYEMI.

................................

Amani yetu inatumiwa vibaya.
 




Jamaa wa kati huyo na kidole chake, imagine kingekuwa cha kati ? au tuseme yeye hajaridhika na punguzo ?

......................................

Amani yetu inatumiwa vibaya.
 
jamani kweli vita ya panzi furaha ya kunguru nimeamini sasa tigo hudumu maana kama si ww watanzania wangepata wapi unafuu ivi tigo awawezi kuanzisha kampuni ya kuzalisha umeme mana ndo lilobaki alina ushindani cjui sasatel watapumulia wapi kwani wao ndo wamedandia fuso kwa mbele bei juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…