Zaidi ya

Zaidi ya

Georgemkali wao

Senior Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
180
Reaction score
118
Hayo yamesemwa leo katika maadhimisho ya siku ya walemavu wa akili duniani. Maadhimisho hayo yamefanyika Mirembe.

Bangi ni kati ya madawa ya kulevya yanayoongeza kwa kasi ongezeko la walemavu wa akili sababu inapatikana Kirahisi.
 
Kwa sababu wafanyabishara wa mikoni hasa WAKINGA wanaloga ndugu zao ili biashara zao zifanikiwe ndo wale tunawaona town na kitaaa
 
Nilikuwa najua, Tabora iko namba moja maana machizi wamejaa
 
tafiti zinasema bangi haisababishi kichaa bali watu wenye vinasaba (genes) na risk factors za kuwa vichaa ndiyo hupendelea kuvuta bangi. kwahiyo ''kichaa'' ni moja ya sababu watu huvuta bangi.
 
Back
Top Bottom