Tetesi: Zaidi ya Nusu Wajumbe Kamati ya Maadili Kujiuzulu Kabla ya 21/1

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,890
71,415
Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii.

Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu wa kumharass mtu ambaye ni kioo cha kujitizama pale Mali na fedha za umma zinapokwenda halijojo.

Wanataka kudhibitisha kwa umma kuwa wao sio dhaifu bali kiti ndio dhaifu.

Pia Bunge ndio linaazimia nani aitwe na sio kiti akitokea nyumbani au akipigiwa simu na huyo mbabe wake anatangaze mtu anaitwa.

Najua JF ni kubwa kuliko media yeyote nchini hivyo hakosi humu member hata mmoja wa hiyo kamati, atudhibitishie huo mtifuano jee una uhakika? Utazalisha nini,?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii.
Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu wa kumharass mtu ambaye ni kioo cha kujitizama pale Mali na fedha za umma zinapokwenda halijojo.
Wanataka kudhibitisha kwa umma kuwa wao sio dhaifu bali kiti ndio dhaifu.
Pia Bunge ndio linaazimia nani aitwe na sio kiti akitokea nyumbani au akipigiwa simu na huyo mbabe wake anatangaze mtu anaitwa.
Najua JF ni kubwa kuliko media yeyote nchini hivyo hakosi humu member hata mmoja wa hiyo kamati, atudhibitishie huo mtifuano jee una uhakika? Utazalisha nini,?


Sent using Jamii Forums mobile app

Bangi za kuvutia chooni shida sana....
 
Mh ngoja tuone. Maana he is in control of chama and gov at the same time. That makes him a king.
Hatokubali kuwa scammed kias hiko.. but then time will tell

Sent using Jamii Forums mobile app
Japo ana control wapo wabunge waliojiuzulu nafasi za ujumbe kwenye kamati za bunge.
Hawa Ghasia ni mfano mmojawapo ambae alijiuzulu uenyekiti wa kamati ya bajeti
 
Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii.
Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu wa kumharass mtu ambaye ni kioo cha kujitizama pale Mali na fedha za umma zinapokwenda halijojo.
Wanataka kudhibitisha kwa umma kuwa wao sio dhaifu bali kiti ndio dhaifu.
Pia Bunge ndio linaazimia nani aitwe na sio kiti akitokea nyumbani au akipigiwa simu na huyo mbabe wake anatangaze mtu anaitwa.
Najua JF ni kubwa kuliko media yeyote nchini hivyo hakosi humu member hata mmoja wa hiyo kamati, atudhibitishie huo mtifuano jee una uhakika? Utazalisha nini,?


Sent using Jamii Forums mobile app

Wajiuzuru! thubutu unataka wakatwe mwaka kesho
 
Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii.
Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu wa kumharass mtu ambaye ni kioo cha kujitizama pale Mali na fedha za umma zinapokwenda halijojo.
Wanataka kudhibitisha kwa umma kuwa wao sio dhaifu bali kiti ndio dhaifu.
Pia Bunge ndio linaazimia nani aitwe na sio kiti akitokea nyumbani au akipigiwa simu na huyo mbabe wake anatangaze mtu anaitwa.
Najua JF ni kubwa kuliko media yeyote nchini hivyo hakosi humu member hata mmoja wa hiyo kamati, atudhibitishie huo mtifuano jee una uhakika? Utazalisha nini,?


Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe umetokea nyumbani ukatuletea haya mambo yasiyothibitishwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom