BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Huu ni upumbavu kabisa!
Aliekuwa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera aliadhibiwa kwa kuvaa pensi
Kitendo cha Morrison kubaki na chupi nilitaraji kusikia Waziri husika, BMT na TFF vikikemea tendo lile
Mpaka sasa hakuna aliyeamka kuongelea inasikitisha sana sana
Unawaza shida n isimba ama shida ni viongozi wa TFF nk kuwa na mhemko na timu ya Simba
Mnatia aibu; Tanzania tuna maadili yetu
Aliekuwa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera aliadhibiwa kwa kuvaa pensi
Kitendo cha Morrison kubaki na chupi nilitaraji kusikia Waziri husika, BMT na TFF vikikemea tendo lile
Mpaka sasa hakuna aliyeamka kuongelea inasikitisha sana sana
Unawaza shida n isimba ama shida ni viongozi wa TFF nk kuwa na mhemko na timu ya Simba
Mnatia aibu; Tanzania tuna maadili yetu