Zahera aliadhibiwa kuvaa pensi; Morrison kavaa chupi hajaadhibiwa. TFF mnaiogopa Simba?

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Huu ni upumbavu kabisa!

Aliekuwa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera aliadhibiwa kwa kuvaa pensi

Kitendo cha Morrison kubaki na chupi nilitaraji kusikia Waziri husika, BMT na TFF vikikemea tendo lile

Mpaka sasa hakuna aliyeamka kuongelea inasikitisha sana sana

Unawaza shida n isimba ama shida ni viongozi wa TFF nk kuwa na mhemko na timu ya Simba

Mnatia aibu; Tanzania tuna maadili yetu
 
Ile Sheria alitungiwa zahera Kwasasa ayupo makocha Kama Matola na wengine ni nwendo wa vi pensi kwenda mbele.
 
unajisumbua
IMG-20210726-WA0031.jpg
 
Maadam hilo Shirikisho linamilikiwa na Wallace Karia, basi usitegemee tamko au adhabu yoyote ile.

Wewe subiria tu adhabu ya milioni 5 kwa sababu Yanga walitumia geti lingine kuingia uwanjani. TFF chini ya uongozi wa Wallace Karia, ni upuuzi mtupu.
 
Mashindano ya Euro ya mwaka huu kati ya Italy na Ubelgiji baada ya mechi kuisha kuna shabiki akamuomba Belloti bukta. Belloti akavua akampa akabaki na chupi na fulana.

Gatusso ameshabaki na chupi uwanjani.

Ingawa sina uhakika kama kuna kocha amewahi kuvaa pensi muda timu yake inacheza ila sioni ni kivipi liwe ni swala la TFF hilo ilipaswa liwe swala la timu husika kuona kocha hawi kiongozi kwa wachezaji kimavazi.
 
Mashindano ya Euro ya mwaka huu kati ya Italy na Ubelgiji baada ya mechi kuisha kuna shabiki akamuomba Belloti bukta. Belloti akavua akampa akabaki na chupi na fulana.

Gatusso ameshabaki na chupi uwanjani.

Ingawa sina uhakika kama kuna kocha amewahi kuvaa pensi muda timu yake inacheza ila sioni ni kivipi liwe ni swala la TFF hilo ilipaswa liwe swala la timu husika kuona kocha hawi kiongozi kwa wachezaji kimavazi.
Tanzania mchezaji anaweza hisi atalogwa😂
 
Huu ni upumbavu kabisa! Aliekuwa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera aliadhibiwa kwa kuvaa pensi

Kitendo cha Morrison kubaki na chupi nilitaraji kusikia Waziri husika, BMT na TFF vikikemea tendo lile
Zahera alikuwa anavaa pensi wakati wa mechi. Morrison amevua bukta baada ya mechi kuisha. Hayo yote ni mapovu baada ya kufungwa kwenye mechi ya ubingwa
 
Huu ni upumbavu kabisa!

Aliekuwa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera aliadhibiwa kwa kuvaa pensi

Kitendo cha Morrison kubaki na chupi nilitaraji kusikia Waziri husika, BMT na TFF vikikemea tendo lile

Mpaka sasa hakuna aliyeamka kuongelea inasikitisha sana sana

Unawaza shida n isimba ama shida ni viongozi wa TFF nk kuwa na mhemko na timu ya Simba

Mnatia aibu; Tanzania tuna maadili yetu
Tff=🐁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom