marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,094
- 1,921
Wilfred Zaha amekuwa mchezaji wa kwanza kutopiga goti katika kampeni ya EPL kupinga ubaguzi wa rangi Zaha amesema haoni sababu ya kupiga goti wakati Ubaguzi unaendelea kila siku.
Amesema yeye hawezi piga Goti kamwe ila Ameshauri nguvu kubwa ielekezwe mashuleni na kwenye Jamii ili kutengeneza vizazi vijavyo visivyo na ubaguzi Zaha amefanya haya katika pambano la Crystal Palace
westbrom linalo endelea .!!
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Amesema yeye hawezi piga Goti kamwe ila Ameshauri nguvu kubwa ielekezwe mashuleni na kwenye Jamii ili kutengeneza vizazi vijavyo visivyo na ubaguzi Zaha amefanya haya katika pambano la Crystal Palace
westbrom linalo endelea .!!Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app