GE2025 Zacharia Obadi: Hakuna tulichopoteza sisi kama CHADEMA kutokushiriki uchaguzi

GE2025 Zacharia Obadi: Hakuna tulichopoteza sisi kama CHADEMA kutokushiriki uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Kwa mara ya kwanza Zacharia Obadi, Katibu wa CHADEMA kanda ya Victoria – anaweka wazi kuwa wao kama chama hakuna walichopoteza kwa kutoshiriki uchaguzi zaidi sana wamerudisha Imani kwa Watanzania.
 
Kwa sasa hakuna chama kinachoheshimika kama CHADEMA. CHADEMA inatambulika ndani na nje ya nchi kama chama pekee cha siasa Tanzania kinachopigania haki na demokrasia. CCM ndiyo chama pekee kinachotambulika kama chama dhulumati kilicho chini ya wahuni wadhulumu haki za wananchi.
 
Long Strategic plan ya kuendelea kuiweka CCM madarakani..Kataa siasa, Siasa kwasasa ni utapeli wa kifikra na mtapeliwa ni Mwananchi huku akiaminishwa Mageuzi ya kiutawala kumbe ni mchezo wa Mazingaombe unaochezwa na Vyama vyote nchini..!!?
 
CHADEMA imebakia chama kisafi kwa kutoshiriki uchaguzi mchafu kwaajili ya kubariki ushetani
 
Back
Top Bottom