Hahahaaa,kweli aisee.Mimi pia mwanzo nilitaka kusema je kama hilo basi lingepata ajali baada ya kukabidhiana kadi ingekuwaje?
Tena anamkabidhi dereva kabisa!
Hahahaaa,kweli aisee.Mimi pia mwanzo nilitaka kusema je kama hilo basi lingepata ajali baada ya kukabidhiana kadi ingekuwaje?
Tena anamkabidhi dereva kabisa!
Wee acha tu, nna njaa zangu ila naichukia sana siasa. Inakufanya uwe na uwezo wa kuwaambia watu chumvi ni tamu hata kama wewe mwenyewe unajua fika uhalisia hauko hivyo!