simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,410
- 9,182
Another Witch-hunt doomed to fail and only serve to taint SMZ's reputation.Pasi za uraia wa Jamuhuri ya Muungano issued mid 60's,were they revoked?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SMZ haiwezi kutamka mambo kama haya without a node from DSM. Haya yote yanasukwa DSM!!!
..any issue on Foreign Affairs, Natural Resources, etc etc - kwani haya ni mambo ya Muungano tokea April 1964!.
...Hapa SMZ imetumiwa tu, lakini amri imetoka DSM
Zanzibar inatia aibu. Kama kuna watu wameishi kuanzia miaka ya 60's na unawaambia sio raia kwasababu babu zao walitoka morocco ni vichekesho na ubaguzi wa hali ya juu. Je watu watawekeza vipi kwenye sehemu yenye ubaguzi wa namna hii!
Huku ni kukosa kazi za kuchangamsha akili maana badala ya kujenga, tunazidi kubomoa. Zanzibar kuna watu wameanza kupitiwa na usingizi mnono wa madaraka wanajisahau.Ivory Coast iliharibika na vitu vya aina hii hii. Ngoja tusubiri tuone wakina yakhe wanatengeneza nini kwa usumbufu huu wanaouanzisha
Kunahitajika tamko kutoka kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar au Tanzania kwa kifupi ,hapa atolee tamko kuhusiana na hili maana hata hapa Tanzania Bara wapo ...
He argued that as per Chapter 39 of the Laws of Zanzibar, the status of the people of the Comorian origin were not the Sultan subjects and were therefore considered as aliens.Ninafikiri hizo quote mbili hapo juu zinatosha kumjibu huyo muheshimiwa labda kama analingine kuhusiana na hao watu
Bluray,
Mkuu wangu Zanzibar haina passport lakini haya ndio mawazo ya Viongozi wa Zanzibar. Jana ilikuwa wabara kuingia na pass, sijui wafukuzwe ni wahamiaji, basi hili la Wakomoro ndio litakalo imaliza Zanzibar...Yaani serikali hiyo imegusa pabaya... Sasa ndio utasikia vita ya siasa ndani ya Zanzibar, vita ambayo haitakwisha leo wala kesho kwa sababu nijuavyo mimi Zanzibar ni nchi inayoitamba kwa sababu ya Wakomoro. Wooote wanaopiga kerlel za Muungano na haki za Zanzibar ni Wakomoro kwa asili..
Bara tunawavumilia kwa kila hali sii kwamba hatufahamu asili zao ila ni ktk kutambua Historia ya nchi hiyo ktk mkusanyiko wa makabila mengi ya dunia... Huu ndio mwanzo mkuu wangu utaisikia vurugu hii ikipamba moto kabla ya uchaguzi.. Sii ajabu bakora zikatemmbea..
What a F..........Sultan subjects stand for!..
Sheria nyingine jamani aaaah! ama kweli Miafirka Ndivyo Tulivyo.
Ninafikiri hizo quote mbili hapo juu zinatosha kumjibu huyo muheshimiwa labda kama analingine kuhusiana na hao watu
Hivi kwani sheria ya uraia inasemaje?
Kwani ukiishi kwenye nchi nyingine miaka mingi unakuwa raia automatically? Si kuna sheria na taratibu za kuupata uraia? Kwanini baadhi ya Wakomoro hawakuzifuata hizo taratibu na wengine walizifuata?
Tusianze kulalama bila sababu za msingi, wanachofanya Zanzibar ni kutekeleza na kusimamia sheria zao za uhamiaji, siyo ubaguzi!
Zanzibar bana, hamkosi jambo? Miye nilidhani huu ndiyo wakati wa kumjua na kumrudia Mola kumbe nyie mnaaza kuwatafuta Wa-Comoro? Inachekesha! Inaleta kichefucefu! Inaonyesha ufinyu wa fikra za viongozi!
Baada ya Wa-Comoro, watafuata Wa-BARA, Baadaye Wa-Pemba baadaye...
Mnaturudisha nyuma walahi!
Amri iliyotolewa ya SMZ kusitisha mikataba ilotiwa na s'kali ya Muungano kutafuta mafuta ZNZBar nayo ilitoka Dar? Maana mafuta nayo, kwa mujibu wa Katiba ambayo unasema tujifunze, mafuta ni ya muungano, au?