watu wenye upeo na uzalendo kama ZITTO hawawezi kuisha wala kupotea.mbona hadi leo mumeshindwa kuwasahau akina Patrice Lumumba,JK Nyerere,Ahmed Ben Bellah,Nelson mandela,sokou toure na Samora machel,,,,.... Zitto ni kama hawa watu ndio maana mumemkumbuka na mnamjadili hivi sasa