KIGWANYA
Member
- Apr 14, 2016
- 81
- 103
habari wanabodi
Huyu bwana tangu kutemwa CCM na baadae kujiunga na CUF amekua akionekana kwa nadra sana. Alionekana sanasana wakati wa kampeni kabla ya uchaguzi 2015 lakini baada ya hapo hayupo active. Au CUF wanambania? naona sana walio active kwenye CUF ni akina Jussa, Mazrui na wengine ila yeye yupo kimwa au ndo ngombe asiye mkia?
Tujadili.
Huyu bwana tangu kutemwa CCM na baadae kujiunga na CUF amekua akionekana kwa nadra sana. Alionekana sanasana wakati wa kampeni kabla ya uchaguzi 2015 lakini baada ya hapo hayupo active. Au CUF wanambania? naona sana walio active kwenye CUF ni akina Jussa, Mazrui na wengine ila yeye yupo kimwa au ndo ngombe asiye mkia?
Tujadili.