Yuwapi Komredi Benard Membe?

Wamemfungia hoteli yake ninasikia eti anamalimbikizo ya kodi. Hili jiwe lenye visasi hili sijui ni jiwe la wapi
 
yuko chini ya uangalizi maalum kwa masilahi ya chama
 
vuta picha ingekuwa vipi leo hii Mhe Membe angelikwa ndio Rais wa Tanzania,angesafiri mara ngapi kwenda nnje? wasanii wangapi wangeenda ikulu?
Kwani hao wasanii ni raia wa nchi gani?
 
Teheeteeh, Membe alisema 2016 maadui zake watakimbia nchi, imekuwa kinyume yeye ndio kakimbia maadui zake. Siasa bana eti nae alikuwa aishi magogoni?! mtama tu ilimshinda nchi nzima ingekuwaje?
Teh teh teh
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…