Yusuf Manji: Nitamshitaki Makonda kwa kunichafulia jina

Inabidi usome sheria kwa kina aisee kwanza kifungu cha sheria kimoja kinaweza kubadilishwa na maana ya kifungu kingine haraka sasa wewe ukishikilia kakifungu fulani ulikokariri akija aliyebobea vingu vingi mbona utabaki unatoa macho tu, ndio maana wanakuambia Law is flexible.
 
Mangi, kuna haja kweli ya makelele yote hayo! Mkuu wa mkoa wako amekutaja, we nenda tu kama upo safi hizi kelele zote za nini? Huoni unasababisha maswali mengi zaidi! Hutaonewa, wewe nenda kama uko safi hupaswi kuanza makelele yote haya. Kwenye list wapo wengi wametajwa na watahudhuria na kutoa ushirikiano kwa polisi! Kuwa m/kiti wa yanga hakumzuwii mtu kuuza madawa ya kulevya! Tena hii inaweza ikawa ni njia rahisi zaidi ya kujifichia! Usivute media ktk suala hili! Kama huusiki, utakuwa 'cleared'!
 
Atapona Makonda hana jeuri ya kumtaja
Kwenye ile listi ya majina yaliyoletwa na mfungwa wa madawa ya kulevya China hakutaja jina hata moja ni Hariri.
Mkuu riz one c mkaz wa Dar-es-salaam.
Makonda ama deal na wana dsm pekee...kama uko pwan baac ww umepona
 
Binafsi sipendi kuona biashara hii ikisikika inafanyika Nchini, Ila najua Mheshimiwa Makonda hajawahi kufanikiwa katika mambo mengi ambayo ameyaanzisha. Sasa ninauhakika hii shughuli imeshamshinda. Strategy anazozitumia ni za hovyo kabisa.... na ninaiona aibu itakayo kuwa kwake siku chache zijazo. Hata mashirika makubwa ya CIA na FBI ya nchini Marekani hayapambani na madawa kwa style hii!! Manji ameongea points kadhaa zenye uzito wa aina yake.
 
na Manji alivyo na mdomo usio na break tutegemee mazito zaidi.
Kiongozi hapo naona Boss Manji kweli kama ameteleza sehemu fulani, coz hata kama RC amekosea hawezi kujudge negative kwa kiongozi wa umma wakati RC alipomtaja sehemu fulani alisema wanao ushahidi wa kutosha, kwa pande zote tatu. Watumiaji,wauzaji na wenye taarifa za kusaidia khs upatikanaji wa madawa yenyewe. Kwahiyo me cdhani sana kama RC anaweza kutoka hadharani kuzungumzia jambo bila kuwa na chembe ya uhakika. Vita hii ni NGUMU mno. NO TRUST ANY ONE. Alamsiki
 
...safi sana Manji....jina la Freeman Aikael Mbowe halimo kwenye orodha ya makonda....hivyo Freeman haitaji kwenda polisi ijumaa....aliposema mbunge wa Hai hakusema ni mbunge wa sasa ama wa lini...na kama alimaanisha wa sasa basi jina lake halimo kwenye list...period.....inabidi wale wanaoonekana kutajwa kwa hila sasa wakomae na sheria tu...maana ni sheria peke ya ke itawapa haki na kuwasafisha....Manji analijua hili vema....na ameanza...
 
alivyompiga warioba alikuwa na uhakika!!!!
 
Angalia sasa ulivyokuwa mzembe wa kufikiri unajua km huautendei haki ubongo wako wake up kijana, relax, changanua na pambanua mambo ndio ukoment siyo unapelekwapelekwa ovyo tu
Nikuulize wewe kibaraka wa manji kwani ni yeye peke yake katajwa? Mbona unashoboka sana? Mmezoea kuishi kwa kusifia fanya kazi ule kwa jasho boss wako Ndio hivyo tena ni muuza madawa lazma akanyee ndoo kama vipi nenda sentro kamsaidie lakini kumbuka serikali hii haijaribiwi
 
Hahaha magazeti ya kesho yatavyogeuzwa chezea pesa makonda ashtakiwa na manji kuharibu jina lake
 

Kwaiyo umekaa mwnyw na ukatafakari ndio umekuja kuharisha hapa, wasalimie
 
Hahahhahahahahaa
Kuwa Mwenyekiti wa Yanga sio sababu ya kuzuia kuhojiwa Manji afadhali Manji angesema yeye Kama kiongozi Diwani. It's very shame kwa Manji kumhusisha Kardinali Pengo. Manji heshimu mamlaka iliyopo madarakani kwani kuitwa na kuhojiwa sio kuwa una kosa, unatakiwa uende ukasikie wito wa serikali. Kuhusu suala la kulipa kodi sio msaada ni wajibu wa kila mtu kulipa.
Mr Manji Look before you Leap.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…