sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,478
lile eneo bado lina uzio tu ila inaonekana wameachia kukaza
Alishauza viwanja viwili pale mbona.. Sehemu moja kuna kituo cha mafuta na supermarket na sehemu ya pili kuna bandari ya nchi kavu kwa ajili ya magari.. Hiyo kitambo Mkuu..