NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
The football fan NALIA NGWENA nimejikuta namkumbuka kijana machachali Teps Evance winga mwenye kasi na winga anayeipiga miguu yote (kulia na kushoto).
Nilipomuuona kipindi kile ameitwa Timu ya Taifa (taifa stars) kutokana na umri wake niliona ni msaada mkubwa sana kwa taifa letu kutokana na Talanta/kipaji alichokua nacho bwana mdogo Tepsi Evance.
Huyu ni namba Saba (7) mwenye kasi mwenye kujua chenga hakika ni winga wa mpira haswaa bwana mdogo ana talanta ya mpira kichwani mwake.
Msimu umeisha bila ya kumuona Tepsi Evance na kila nikichungulia game za Azam Fc sioni hata jina lake kwa upande wa sub.
Mnaojua/wenye taarifa ya huyu bwana mdogo mwenye talanta kubwa kuliko hata Pape osumane Sakho na Kibu Denis aje atuambie huyu bwana mdogo yupo wapi?
Nilipomuuona kipindi kile ameitwa Timu ya Taifa (taifa stars) kutokana na umri wake niliona ni msaada mkubwa sana kwa taifa letu kutokana na Talanta/kipaji alichokua nacho bwana mdogo Tepsi Evance.
Huyu ni namba Saba (7) mwenye kasi mwenye kujua chenga hakika ni winga wa mpira haswaa bwana mdogo ana talanta ya mpira kichwani mwake.
Msimu umeisha bila ya kumuona Tepsi Evance na kila nikichungulia game za Azam Fc sioni hata jina lake kwa upande wa sub.
Mnaojua/wenye taarifa ya huyu bwana mdogo mwenye talanta kubwa kuliko hata Pape osumane Sakho na Kibu Denis aje atuambie huyu bwana mdogo yupo wapi?