Yupo wapi Wassira, yupo wapi Muhongo?

Wapo wengi kaka

1. Mwantumu Mahiza
2. Mulongo
3. Dr Naomi Katunzi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo yupo mkwajuni chunya ni mfanya biashara

In God we Trust
 
Yaani bundle la bulaya ndivyo unavyolipoteza namna hii kwa mambo yssiyo na tija!
 
Mzee Wassira ni wa afya njema na anafanya utaratibu wa kurudi mjengoni ifikapo Oktoba, 2020.
 
Dunia inaenda kasi sana...wengi wao cjui tumewapotezea wapi....ila mzee wa miamba kunakipindi nilickia amechaguliwa kuongoza jopo la wataalamu wa taaluma yake...ambayo makao makuu yapo kule ZERO brain kapigwa marufuku kutia nanga...sijui painta NUWU YOKI....

Mzee wa sana nzito basikia yupo..chijijini huko anacheza na ng'ombe..mbuzi na kuku..na kuzea udongo...

OVAAAA
 
Ni wakati wa steve nyerere, polepole na MAkonda
 
Mzee Wassira ni wa afya njema na anafanya utaratibu wa kurudi mjengoni ifikapo Oktoba, 2020.
Wakati wa Mwalimu, Wasirra yupo. Kaingia Mwinyi , Wassira yupo. Kaja Mkapa, Wassira yupo. Hata wakati wa Kikwete, Wassira yupo. Pia wakati wa kugombea kuteuliwa mgombea wa Uraisi kwa tiketi ya CCM mwaka 2015, Wassira alikuwepo. Jamani mwacheni Mzee wa watu apumzike kwa amani sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…