Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,403
- 1,582
Jana nilikua napitia hafla ya kukabidhi ripoti ya ukaguzi wa mali za chama kinachotawala kutoka kwa katibu mkuu wa chama hicho kwa wakati huo kwenda kwa mwenyekiti wake.
Nimekumbuka mbali na mengi sana. Hivi ndugu yetu mwalimu Bashiru Kakurwa yuko wapi? Amerudi darasani kupiga pindi au ndio kapigwa pini?
Nimekumbuka mbali na mengi sana. Hivi ndugu yetu mwalimu Bashiru Kakurwa yuko wapi? Amerudi darasani kupiga pindi au ndio kapigwa pini?