Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,224
- 6,468
Habari zenu wanajukwaa. Mtakumbuka miaka ya nyuma alikuwepo mwanasisa nguli Iddi Simba. Aliwahi kuwa Mbunge wa Ilala na waziri ktk wizara mbalimbali humu nchini. Sijamsikia siku nyingi wala kupata habari zozote zinazomuhusu. Hivi gwiji hili la siasa lipo wapi na linafanya nini sasa?