Baniani Mbaya Kiatu Chake dawa...huyu unaemsema mbovu ndio alikua analipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali enzi za Msoga...huyu mzee angekaza mishahara watu wangepata tarehe 52 badala ya 35 waliokua wanapata...give some respect to an oldman
He miscalculated akidhani angepata kuwa waziri wa fedha na akasahau kuwa wananchi bado wanakumbuka ufisadi aliofanya ndugu yake Mramba mpaka akafungwa!!