REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,449
- 9,372
Habari zenu wadau wa burudani
Jamani Leo nimemkumbuka uyu kijana wa kingoni Caz T mwana wa komba aliyesumbua miaka ya 2000 mpaka 2002 na vibao vyake kama one more chance, sister du kapika ugali mmibichi, na funga kazi wimbo nakuitaji pamoja na ablam yake iluyokuwa na nyimbi kama tuvumiliane no
Naomba kujua alipo uyu jamaa kwa sasa Mara ya mwisho niliambiwaga baada ya mauzo ya ablam ya nakuitaji alifanikiwa kujenga maeneo ya ukonga makaburini
Naulizia kwa sababu kapotea kabisa hata kwenye interview simsikii kwenye matukio mbali mbali ya burudani nk haonekani
Yupo wapi uyu jamaa
Team kiba na diamond tuachieni nafasi kidogo najua hamuwezi mjua uyu mtu
Jamani Leo nimemkumbuka uyu kijana wa kingoni Caz T mwana wa komba aliyesumbua miaka ya 2000 mpaka 2002 na vibao vyake kama one more chance, sister du kapika ugali mmibichi, na funga kazi wimbo nakuitaji pamoja na ablam yake iluyokuwa na nyimbi kama tuvumiliane no
Naomba kujua alipo uyu jamaa kwa sasa Mara ya mwisho niliambiwaga baada ya mauzo ya ablam ya nakuitaji alifanikiwa kujenga maeneo ya ukonga makaburini
Naulizia kwa sababu kapotea kabisa hata kwenye interview simsikii kwenye matukio mbali mbali ya burudani nk haonekani
Yupo wapi uyu jamaa
Team kiba na diamond tuachieni nafasi kidogo najua hamuwezi mjua uyu mtu