lafionaposh
Senior Member
- Jul 22, 2015
- 139
- 64
Kila mwanamke ni wife material.sema inategemea unataka material ya aina gani mkuu..
na kama anataka material ya kuchapiwa kla siku n ruksa
Kila mwanamke ni wife material.sema inategemea unataka material ya aina gani mkuu..
Mungu atakuonyesha aliyekuchagulia
Atakuonyesha vipi? kila kitu Mungu tu
kama we ni kipofu atakuonyeshaje? refer kwa mleta uzi....ni kipofu
after all, Mungu ameshajitoa kuwachagulia watu maana mkiboronga hamkawii kusema ee Mungu umenipa mke gani...kumbuka Adam na Eva, Adam alianza kulia ooh huyu mwanamke uliyeniletea ndo kanipa tunda.
am I wrong?
Hivi ushajikutaga una wasichana wawili ambao mmoja ni mkaliii shape kubwa toto refu. Mguu wa bia,namba 8 flani ivi ila ni mkorofi haambiliki akikukosea aombi msamaha ila unabaki naye kwa vile unampenda.
Kwa upande mwngne una demu wa kawaida (kawaida namaanisha Mguu mwembamba kama wangu shape la kawaida ana kitambi kidogo ) lakini yeye ana sifa zote za u wife material.
Tatizo linakuja ukitaka kuoa unatamani uwe na mkali hata mkitoka out au kwenda katika masherehe uwafunike marafiki zako lakini tabia mbaya bora lipi? Kuoa wife material au unayemtamani?
Samahani kwa nitakaowakera
Hivi ushajikutaga una wasichana wawili ambao mmoja ni mkaliii shape kubwa toto refu. Mguu wa bia,namba 8 flani ivi ila ni mkorofi haambiliki akikukosea aombi msamaha ila unabaki naye kwa vile unampenda.
Kwa upande mwngne una demu wa kawaida (kawaida namaanisha Mguu mwembamba kama wangu shape la kawaida ana kitambi kidogo ) lakini yeye ana sifa zote za u wife material.
Tatizo linakuja ukitaka kuoa unatamani uwe na mkali hata mkitoka out au kwenda katika masherehe uwafunike marafiki zako lakini tabia mbaya bora lipi? Kuoa wife material au unayemtamani?
Samahani kwa nitakaowakera
hakuna hata m1 hapo
kama kungekua na aliekuteka moyo usingewaingza kwenye comptn
hamna hapo kitu
ulipiga kura?Unanikumbusha post yako naomba niiparafrezi kiduchu; "Hivi mme wako tena wandoa anaweza akakuomba...........na maumbile?"
ulipiga kura?
kuna mabom hapa bdaeTayari mkuu, mie tena nimwache "Olaigwanani wa Ngarashi"......