Yupi wa kuoa kati ya hawa wanawake?

Yupi wa kuoa kati ya hawa wanawake?

nimechafukwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
290
Reaction score
237
Hivi ushajikutaga una wasichana wawili ambao mmoja ni mkaliii shape kubwa toto refu. Mguu wa bia,namba 8 flani ivi ila ni mkorofi haambiliki akikukosea aombi msamaha ila unabaki naye kwa vile unampenda.

Kwa upande mwngne una demu wa kawaida (kawaida namaanisha Mguu mwembamba kama wangu shape la kawaida ana kitambi kidogo ) lakini yeye ana sifa zote za u wife material.

Tatizo linakuja ukitaka kuoa unatamani uwe na mkali hata mkitoka out au kwenda katika masherehe uwafunike marafiki zako lakini tabia mbaya bora lipi? Kuoa wife material au unayemtamani?

Samahani kwa nitakaowakera
 
Hivi ushajikutaga una wasichana wawili ambao mmoja ni mkaliii shape kubwa toto refu. Mguu wa bia,namba 8 flani ivi ila ni mkorofi haambiliki akikukosea aombi msamaha ila unabaki naye kwa vile unampenda.

Kwa upande mwngne una demu wa kawaida (kawaida namaanisha Mguu mwembamba kama wangu shape la kawaida ana kitambi kidogo ) lakini yeye ana sifa zote za u wife material.

Tatizo linakuja ukitaka kuoa unatamani uwe na mkali hata mkitoka out au kwenda katika masherehe uwafunike marafiki zako lakini tabia mbaya bora lipi? Kuoa wife material au unayemtamani?

Samahani kwa nitakaowakera


Oa huyo ambaye wewe mwenyewe umesema ni wife material.
 
Khaa!! Usichokijua kwamba na wewe uko katika list ya watu wanne mnaofikiriwa na hao madem zako. Kama vipi chukua wote ili ukidhi mahitaji yako..
 
oa hyo mkaree...ila ukichafukwa vizuri usinikumbuke mie mwenye kitambi
 
wanawake wenye maumbile mazuri ni kwa ajili ya sex only. akili kinywani.
 
Ukiambiwa uchague sahani ya disposable na ya udongo utachagua ipi?
 
hakuna hata m1 hapo

kama kungekua na aliekuteka moyo usingewaingza kwenye comptn

hamna hapo kitu
 
Second selection inakuja pale tu first selection isipokuridhisha...... Akili ya kuambiwa changanya na yako.
 
Oa mtu ambaye utampenda na kuwa huru naye ata mtakapo pita mbele za watu
 
hakuna hata m1 hapo

kama kungekua na aliekuteka moyo usingewaingza kwenye comptn

hamna hapo kitu

Haiwezekani kumpata mwenye vigezo vyote. Hapa.ni nani ni strong.zaidi. Kwahiyo ipo haja ya kuwalinganisha.
 
Mie mwenyewe nimechafukwa hatariiii.....
Kuna mtu namvizia nimpige ila dizaini kama kashtuka ananikwepa kajifungia kimya kila navyomchokonoa hajibu
 
Back
Top Bottom